Wale tunaovaa Barakoa tupeane experience jinsi ya Kuvaa, mwenzenu inaniletea matatizo

Waziri wa Afya alikataza tusivae Barakoa namba N95 sababu ni chache na tuwaachie wahudumu wa afya. Kwakuwa hili swala linahusu uhai, imebidi nitafute hizi kwani nahisi zitakuwa na ubora zaidi.
View attachment 1431943
View attachment 1431952

Nafikiri hutakiwi kuvaa barakoa mda wote mkuu. Mfano kama upo ofisini peke yako, au uko kwenye sehemu ambayo haina mkusanyiko, unaweza kuvua. Barakoa inavaliwa kwenye yale maeneo hatarishi kama sokoni, madukani, kwenye usafiri wa umma nk. Pia aina ya barakoa unayovaa inachangia. Hizi N95 na jamii yake upumuaji unakua tabu kidogo japo ndio nzuri.
 
Juzi kati nilikuwa nakula msosi nimeweka barakoa pembeni naendelea kula nikajisahau nikadhani tissue nikajifutia mikono. Hivi vibarakoa special vyeupe disposable. Roho iliniuma sana
 
Salaam wakuu,

Huu Ugonjwa wa Corona umekuja na mengi ikiwemo kuvaa Barakoa kuziba mdomo na Pua ili ili majimaji ya Korona yasikupate au hata kama na wewe una Corona usiweke kuambukiza wengine pale unapo piga chafya.

Ila mimi nikiivaa naona ni Mateso makubwa. Wenzangu mnawezaje kuvaa Barakoa asubuhi hadi jioni?

Mimi nikivaa Barakoa muda mrefu, kichwa kinaniuma, nasikia kizunguzungu, macho yanakua hayaoni vizuri, na saa nyingine najisikia homa pae nivaapo Barakoa kuliko siku ambazo Sivai.

Imefika kipindi hata kuvaa najishauri naiweka mfukoni tu. Tena bora ya Kitambaa hizi za kushona, lakini nikivaa vile Special ndo najisikia kufa kabisa.

Nimekuja hapa kuuliza kama ni mimi tu au kila mtu anajisikia kama mimi? Kama vipi tushinikize Shirika la Viwango Tanzania Bureau of Standards (TBS) lifanyie uchunguzi hizi barakoa Zilizoingia Nchini. Naamini hazina viwango. Sababu ukiwa umeivaa ukipumua hewa haitoki nje, ukivuta unavuta hiyo hiyo. Nahofia Barakoa zinaweza niletea maradhi hivyo nina panga kufanya kinyume labda nishauriwe namna nzuri ya kuvaa.

Tangu nianze kuvaa Barakoa Macho yangu yamekua mekundu kama navuta Kaya. Ni mateso kwa kweli, Mungu tuokoe.

Nakosa uhuru wa kuvuta hewa safi. Pumzi ninayo ivuta hainitoshi. Kama nilikua navuta pumzi ya kujaza lita moja, sasa navuta kikombe kimoja tu nikiwa nimevaa Barakoa aka Mask

Leo nmeona idadi ndogo ya watu walovaa Barakoa, nahisi wamekiona cha moto.

Waziri wa Afya alikataza tusivae Barakoa namba N95 sababu ni chache na tuwaachie wahudumu wa afya. Kwakuwa hili swala linahusu uhai, imebidi nitafute hizi kwani nahisi zitakuwa na ubora zaidi.

View attachment 1431952
Kichwa kinauma Kinyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna drop lets zinaweza penya kwa chini ya barakoa labda kama ni za sayansi ya risasi iliomuua Aquilina (rejea maelezo ya afande) hivyo sio lazima ukaze hizo kamba hadi ukose hewa. Jaribu kulegeza kidogo mkuu. Pia vaa pale unapokuwa maeneo yenye msongamano tu. Sio hata kwenye gari uko mwenyewe unakomaa tu.
 
Mimi sasa

1. Kupumua kwa shida sana

2. Masikio yanauma kwa kutanuliwa na kamba za barakoa

3. Mpaka korona itakapoisha nitakuwa na masikio yamepanuka kama ya paka au kama ungo

Hivi watz nani aliyesema barakoa inavaliwa masikioni???
 
Salaam wakuu,

Huu Ugonjwa wa Corona umekuja na mengi ikiwemo kuvaa Barakoa kuziba mdomo na Pua ili ili majimaji ya Korona yasikupate au hata kama na wewe una Corona usiweke kuambukiza wengine pale unapo piga chafya.

Ila mimi nikiivaa naona ni Mateso makubwa. Wenzangu mnawezaje kuvaa Barakoa asubuhi hadi jioni?

Mimi nikivaa Barakoa muda mrefu, kichwa kinaniuma, nasikia kizunguzungu, macho yanakua hayaoni vizuri, na saa nyingine najisikia homa pae nivaapo Barakoa kuliko siku ambazo Sivai.

Imefika kipindi hata kuvaa najishauri naiweka mfukoni tu. Tena bora ya Kitambaa hizi za kushona, lakini nikivaa vile Special ndo najisikia kufa kabisa.

Nimekuja hapa kuuliza kama ni mimi tu au kila mtu anajisikia kama mimi? Kama vipi tushinikize Shirika la Viwango Tanzania Bureau of Standards (TBS) lifanyie uchunguzi hizi barakoa Zilizoingia Nchini. Naamini hazina viwango. Sababu ukiwa umeivaa ukipumua hewa haitoki nje, ukivuta unavuta hiyo hiyo. Nahofia Barakoa zinaweza niletea maradhi hivyo nina panga kufanya kinyume labda nishauriwe namna nzuri ya kuvaa.

Tangu nianze kuvaa Barakoa Macho yangu yamekua mekundu kama navuta Kaya. Ni mateso kwa kweli, Mungu tuokoe.

Nakosa uhuru wa kuvuta hewa safi. Pumzi ninayo ivuta hainitoshi. Kama nilikua navuta pumzi ya kujaza lita moja, sasa navuta kikombe kimoja tu nikiwa nimevaa Barakoa aka Mask

Leo nmeona idadi ndogo ya watu walovaa Barakoa, nahisi wamekiona cha moto.

Waziri wa Afya alikataza tusivae Barakoa namba N95 sababu ni chache na tuwaachie wahudumu wa afya. Kwakuwa hili swala linahusu uhai, imebidi nitafute hizi kwani nahisi zitakuwa na ubora zaidi.

View attachment 1431952
Hata mimi zinanipa shida sana,barakoa zinatakiwa kuvaliwa wakati wa dharura tu au unapotoka nyumbani,lakini ukiwa nyumbani sidhani kama ni lazima uvae muda wote,mimi nikivaa kwa saa moja tu nasikia mapigo ya moyo yanaenda kasi,pia macho yanawasha na hata pua inawasha,labda waliozoea hizo barokoa ni watu wa viwandani na waganga au wale wanaoishi nchi zenye uchafuzi wa mazingira, nikivaa napumua kama chatu aliyetoka kumeza swala,hawa walioleta huu ugonjwa wametukomoa, hapana pa kukimbilia au kukwepea
 
Salaam wakuu,

Huu Ugonjwa wa Corona umekuja na mengi ikiwemo kuvaa Barakoa kuziba mdomo na Pua ili ili majimaji ya Korona yasikupate au hata kama na wewe una Corona usiweke kuambukiza wengine pale unapo piga chafya.

Ila mimi nikiivaa naona ni Mateso makubwa. Wenzangu mnawezaje kuvaa Barakoa asubuhi hadi jioni?

Mimi nikivaa Barakoa muda mrefu, kichwa kinaniuma, nasikia kizunguzungu, macho yanakua hayaoni vizuri, na saa nyingine najisikia homa pae nivaapo Barakoa kuliko siku ambazo Sivai.

Imefika kipindi hata kuvaa najishauri naiweka mfukoni tu. Tena bora ya Kitambaa hizi za kushona, lakini nikivaa vile Special ndo najisikia kufa kabisa.

Nimekuja hapa kuuliza kama ni mimi tu au kila mtu anajisikia kama mimi? Kama vipi tushinikize Shirika la Viwango Tanzania Bureau of Standards (TBS) lifanyie uchunguzi hizi barakoa Zilizoingia Nchini. Naamini hazina viwango. Sababu ukiwa umeivaa ukipumua hewa haitoki nje, ukivuta unavuta hiyo hiyo. Nahofia Barakoa zinaweza niletea maradhi hivyo nina panga kufanya kinyume labda nishauriwe namna nzuri ya kuvaa.

Tangu nianze kuvaa Barakoa Macho yangu yamekua mekundu kama navuta Kaya. Ni mateso kwa kweli, Mungu tuokoe.

Nakosa uhuru wa kuvuta hewa safi. Pumzi ninayo ivuta hainitoshi. Kama nilikua navuta pumzi ya kujaza lita moja, sasa navuta kikombe kimoja tu nikiwa nimevaa Barakoa aka Mask

Leo nmeona idadi ndogo ya watu walovaa Barakoa, nahisi wamekiona cha moto.

Waziri wa Afya alikataza tusivae Barakoa namba N95 sababu ni chache na tuwaachie wahudumu wa afya. Kwakuwa hili swala linahusu uhai, imebidi nitafute hizi kwani nahisi zitakuwa na ubora zaidi.

View attachment 1431952
Wewe utakuwa unatumia barakoa ya chini ya kiwango au saizi za nyusi za kichina.

Badala yake tafuta "gas mask" kama zile za kujikinga na maambukizi ya silaha za kibaiolojia na kemikali.

Pengine una uso na kichwa nje ya viwango vinavyojulikana na wenzetu huko duniani,

jifunze kutengeneza yako kwa vipimo vyako mwenyewe (kama tailored suit) hapa...

 
Back
Top Bottom