Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
Ha ha ha!!Huku ktaaa kuna jamaa tangu asikie tu kuna barakoa basi akawa fasta tu kuvaa ,sasa Ana mwezi yaan daily anatinga barakoa mpaka nikimwangalia sasa hvi masikio yake yamesogea mbele kama fisi.
Sent using Jamii Forums mobile app