kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,298
- 7,646
kwa nini zinakushinda?Napenda sana chapati ila zilishanishinda kabisa kuziandaa.
kwa nini zinakushinda?Napenda sana chapati ila zilishanishinda kabisa kuziandaa.
Tangawizi,chai chai,hiliki,mdalasini+ nyota ya kupikaunawekaga na majani yale yanayonukia au unaenda kuchua masala yale dukani
Karibu SanaMmh hii chai ya kuiwaza wiki nzima nami naiomba plz
a hayo masala mwingine anaweka badala ya kua chai inakua pilau,,chai inanuka pilau. Naweka vitu asili vyote,,tangawizi mchaichai,hiliki na mdalasini, ukizidsha baadhi ya viungo hapo inakua pilau,unabalance tena mdalasn kwa mbaliiunawekaga na majani yale yanayonukia au unaenda kuchua masala yale dukani
Ni kweli,,chai hata saa saba mchana unaitamaniWeka vitu hapa ili nasi tujifunze. Ila jamani kuna watu wanatengeneza chai nzuri yaani ni nzuri kupita kiasi halafu na vile viungo unaweza kunywa hata chupa nzima.
Kyai tu,,hahaani chai tu au kuna kingine
a hayo masala mwingine anaweka badala ya kua chai inakua pilau,,chai inanuka pilau. Naweka vitu asili vyote,,tangawizi mchaichai,hiliki na mdalasini, ukizidsha baadhi ya viungo hapo inakua pilau,unabalance tena mdalasn kwa mbalii
Yani unavoongea naona nimeweza,,subiri niingie kupika sasa,,jasho, sijui huwa napanic?ti hazina ugumu
Hakikisha mafuta yawe si mengi sana na unga usukume au ukande mlaini usiwe mlaini sana uwe mlaini kiasi ambacho huminyani nao kusukuma madonge
Sio lazima maji yawe moto hata maji baridi tumia formula hiyohiyo na zinakua
hiyo chai na mimi naitakaKyai tu,,hahaa
Sio zaidi,,ila tangawizi isikike,wengine wanawekaga harufu tu ya tangawizi,isikike iwashe flani hv kichokoz sio mpka ukohoe,iwe ile mbichi sio za unga,,Mchaichai ndiyo unukie zaidi au siyo?
hiyo chai na mimi naitaka
Izo za kusaga ndo zipoje?Jamani mbona kuna zile za Azam ambazo zimeshasagwa au kuna zile ambzo za kukoroga kama za kiarabu
Hahaha usipanic unaweza anza ndogo kisha htakua unaemdelea kupika nyingi kulingana na mahitaji yakoYani unavoongea naona nimeweza,,subiri niingie kupika sasa,,jasho, sijui huwa napanic?
Thank you honey,, ntaleta feedback, ntaanza na ngano roboHahaha usipanic unaweza anza ndogo kisha htakua unaemdelea kupika nyingi kulingana na mahitaji yako
Nitafurahi sana sana Mungu akipenda unijumuishe nione ambacho umekifanya, naamini utawezaThank you honey,, ntaleta feedback, ntaanza na ngano robo
Hua unazikandaje???? Chapati ukitaka itoke laini mafuta na maji cheza navo na hakikisha unasukuma zikiwa lakni zisiwe ngum halaf usiwe unasukuma ile round sana unasukuma kwa uwiano sawaIzo za kusaga ndo zipoje?
Mm mwenyewe mpenzi wa chapati ila kupika cwezi kabisaaa,nazitoa ngumu kama biscuit
Ukivunja zinavunjika kabisa
Sawa jumamoc ntajaribu kupikaHua unazikandaje???? Chapati ukitaka itoke laini mafuta na maji cheza navo na hakikisha unasukuma zikiwa lakni zisiwe ngum halaf usiwe unasukuma ile round sana unasukuma kwa uwiano sawa
Inawezekana sana chai bila majani kuna mdalasini, soya vyote vinabadili rangihiyo itakuwa chai sasa au ni ile ya kuwadnganya wadada kuwa una gari wakti ukweli
Pole sanaHuwa nazitamaniki hata kidogo,naishiaga kuzitupa kabla watu hawajaziona
Hata sijui kwanini maana sometimes nakaaga na kijitabu cha mapishi kabisa ili niende step by step lakini mwisho wa siku natoa kaukau si kaukau,chapati si chapati ili mradi tafrani tukwa nini zinakushinda?