Hivi ni nani humu alipitia kizazi cha yule kanjibahi anaitwa Puneet Kishore.
Namba zetu zilikua zinafuatana so kwa paper alikua anakaa siti ya nyuma yangu.
One time tumemaliza paper ya Necta physics 2 sasa mzigo ulinikamata pabaya nikamuuliza puneet hii utapiga kama ngapi? Akasema hii tafeli sana, ngumu mno naweza pata hata 80% .
Kilichofuata nilitoka nje tu