MwanazuoniMJ
Member
- Nov 28, 2012
- 66
- 30
Hebu tujikumbushe kidogo enzi zile za nauli sh.hamsini,mchiki down na kadhalika.
Daah mwl.kivugo ni nouma sana na kithembe chake kile.
Pamoja sana mimi nimeondoka pale 2001 form 4 baada ya miaka michache nje ya tz niliporudi nikapitia pale nikamkuta mwl kivugo na wengine bado wapo hapo,ilikua ukumbusho mzuri.
Hapo waliobaki nadhani ni kivugo, na mwambalaswa.Mwl. Kivugo, Magomi, Tryphone, Mwambalaswa, Mhina, Kalinga, Mwakalinga, Mpuguso, Nchimbi, Kihaka, Rukoijo, Nyiti, Njau, Sharifu, Mabula...
Wengine walikuwa wakuu wa shule sehemu zingine.
Kama tryphone, magomi, nchimbi na kalinga.
Ingawa kalinga alifariki mwaka juzi
Hivi kalinga ndio yule wa French?Wee... Kalinga yule mwalimu wa Maths mwenye mimacho hivi?
Mungu amrehemu.
Hapana, unayemsema ni mwakalingaHivi kalinga ndio yule wa French?
Oh thanks, hapo nimekupata mkuu, nimemkumbuka huyo mwl. Mara ya mwisho kwenda pale ilikua 2012 nilimkuta kivugoHapana, unayemsema ni mwakalinga
Kalinga wa Namba swahiba wake Mwalimu Kadala.Hivi kalinga ndio yule wa French?