Jacksonzeno
Member
- Feb 17, 2012
- 27
- 23
Dah korogwe hiyo dah
Unanikumbusha Pugu Boy.Kuna dawa fulani maji ya kijani ivi aiseeeee ukipaka ile unaweza jikuta umetokea assembly uchi wa mnyama kwa jinsi inavyouma baada ya hapo P inakauka na ngozi inababuka heeeee heeee usiombe msimu ule maana bweni linakua na harufu fulani ivi na hakuna wa kumcheka mwenzie.
Alafu ile iansababishwa na maji ua chumvi pumbu linaliwa ngozi yote linakuwa kama mtoto wa panya mwenye siku mbili. Mademu walikuwa wanajikuna kinoma anajidai kama anachomekea shati anajikuna fasta anakausha
Kwikwi kwa kaaya huyu. Hii ilinifanya niwe mtoro maarufu dunianWewe jamaa utakuwa ulisoma Minaki ama Pugu
Kaka yangu wew mvulagiziLa saba mie nijulie wapi hayo mambo ya boarding poumbou erosion?? Embu tiririkeni nijue ukoje huu ugonjwa na kama ukinipata nijue nafanyaje wakuu
yeuwiiiiUkija kwenye harufu sasa!Balaa zaidi Mavuluvuza yote yalikuwa yanabadili rangi yanakuwa ya njanoooo.Pumbu inabanduka kama chapati iliyokosewa kukandwa.
Nakuona kwenye ubora wskoHiyo kitu ni hatari, inatafuna Pumbu sijawahi kuona.
Ila ikiisha pumbu linakuwa jipya kabisa. Linang'aaa alafu soft kinyama. Hahahahaha!...
Unatembea kama umetoka kukatwa. Daah!.