Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Acha ikae tu kaka,Mkuu hiyo INSPECTION FEE wasipo weka inamadhara gani?
Hua ni US$ 300.00 (Tshs 675,000/=),
Gari isipokaguliwa huko ilikotoka (Japan) basi faini yake TBS watakuja kukudai zaidi ya 1mil na still gari utakagua,
Ofcoz kuna wauzaj wengine ukiwaambia kua Gari unaleta Tanzania hawawezi kukusafirishia bila hiyo Inspection