Mjema Vushanje
Senior Member
- Sep 24, 2017
- 159
- 353
Naomba kuuliza hizi bei Ni kweli?
Je utatibu wao Ni salama hauna utapeli?
Usijaribu weka mbali na watoto, utalia kama mtoto anavokunywa dawa chungu
Naomba kuuliza hizi bei Ni kweli?
Je utatibu wao Ni salama hauna utapeli?
Uko sawa huibiwi
Naomba kuuliza hizi bei Ni kweli?
Je utatibu wao Ni salama hauna utapeli?
Hizo bei ni kweli,
Naomba kuuliza hizi bei Ni kweli?
Je utatibu wao Ni salama hauna utapeli?
Oky roughly kama gari Ni ya $2000 hizo garama zingine zinaweza kuipaisha mpaka sh ngapi mpaka naondoka nayo?Hizo bei ni kweli,
Ila hakikisha zina INSPECTION FEES.
Pili hizo ni bei mpaka gari inafika bandarini dar es salaam,
Hapo kodi, hela ya clearing agent, hela ya bandari hujaweka bado.
Naomba kuuliza hizi bei Ni kweli?
Je utatibu wao Ni salama hauna utapeli?
Ishu sio bei ingia hapa kwenye calculator ya TRAOky roughly kama gari Ni ya $2000 hizo garama zingine zinaweza kuipaisha mpaka sh ngapi mpaka naondoka nayo?
ThnxIshu sio bei ingia hapa kwenye calculator ya TRA
[USED MOTOR VEHICLE VALUATION CALCULATOR] is good,have a look at it! USED MOTOR VEHICLE VALUATION CALCULATOR
$2,000 imetoka wapi tena wakati pale pana $1,100 - $1,400??Oky roughly kama gari Ni ya $2000 hizo garama zingine zinaweza kuipaisha mpaka sh ngapi mpaka naondoka nayo?
$2,000 imetoka wapi tena wakati pale pana $1,100 - $1,400??
Pia hujasema hizi gari ni CC ngapi, uki assume CC 1,290 makadirio ya kodi na usajili yanakua kama Tshs 3,893,827.66
View attachment 595796
Ni kweli na hakuna utapeli. Angalia gari, bei iwe CIF sio FOB, ingia website ya TRA angalia ushuru, badili iyo dollars kuwa shilingi, jumlisha na ushuru upate gharama kwa ujumla hadi gari inafika Tz.
Naomba kuuliza hizi bei Ni kweli?
Je utatibu wao Ni salama hauna utapeli?
Acha kudanganya wenzioUsijaribu weka mbali na watoto, utalia kama mtoto anavokunywa dawa chungu
Sio kweli wakati wote. Mie hadi linafika ilikuwa 3.3mil, ushuru ulikuwa 4.3mil (ushuru+usajili). Tofauti ya milioni moja na hapo bado gharama za bandari.kifupi,,bei utayonununulia ndo bei utayolipia kama kodi gari ikifika dar,,,
pole agent wako alikua kilaza..next time nambie nikupe agent,,,akikosea kwenye invoice submission tu umeliwaaSio kweli wakati wote. Mie hadi linafika ilikuwa 3.3mil, ushuru ulikuwa 4.3mil (ushuru+usajili). Tofauti ya milioni moja na hapo bado gharama za bandari.