Wale mafundi wa computer nina swali please

IBRA wa PILI

JF-Expert Member
Oct 12, 2017
1,448
2,289
Ishu ipo hivi baada ya kutolewa spidi na uzi wangu jukwaa lile, nimekuja hapa swali lipo hivi je laptop hard disk zote zinaingiliana au ukubwa wa umbo zipo sawa?

Namaanisha hard disk ya dell unaweza funga kwenye hp au Toshiba au lenovo ?? nataka nichukue hard disk ya GB 500 type ni Toshiba condition used ipo ALIEXPRESS pc yangu ni dell latitude 2100 min laptop nimeuliza kutaka kujua sio mtaalamu wa hizi ishu. Natanguliza shukrani asanteni nataraji majibu mazuri.
 
Ishu ipo ivi baada ya kutolewa spidi na Uzi wangu jukwaa lile, nimekuja hapa swali lipo ivi je laptop hard disk zote zinaingiliana au ukubwa Wa umbo zipo sawa?? Namaanisha hard disk ya dell unaweza funga kwenye hp au Toshiba au lenovo ?? nataka nichukue hard disk ya GB 500 type ni Toshiba condition used ipo ALIEXPRESS pc yangu ni dell latitude 2100 min laptop nimeuliza kutaka kujua sio mtaalamu Wa izi ishu. Natanguliza shukrani asanteni nataraji majibu mazuri.
Ndio mkuu zinaingiliana zinaitwa sata 2.5 HDD. Na hakuna HDD ya Dell ama HP brand maarufu za HDD ni Hitachi, Western Digital, Seagate, Toshiba, Samsung etc.
 
Ishu ipo ivi baada ya kutolewa spidi na Uzi wangu jukwaa lile, nimekuja hapa swali lipo ivi je laptop hard disk zote zinaingiliana au ukubwa Wa umbo zipo sawa?? Namaanisha hard disk ya dell unaweza funga kwenye hp au Toshiba au lenovo ?? nataka nichukue hard disk ya GB 500 type ni Toshiba condition used ipo ALIEXPRESS pc yangu ni dell latitude 2100 min laptop nimeuliza kutaka kujua sio mtaalamu Wa izi ishu. Natanguliza shukrani asanteni nataraji majibu mazuri.
Almost Hard disk zote za laptop zinaingiliana 2.5 inch na hakikisha iwe sata au IDE
 
Wakuu nina hdd ya laptop nataka nifanye iwe external hivyo ninahitaji Hard Drive Enclosure na bei zake zikoje?
20180919174525_15621.jpeg
 
Du wakuu shukrani sana izi za 2.5 ndio zipo nying kweli asanteni sana
 
Ndio mkuu zinaingiliana zinaitwa sata 2.5 HDD. Na hakuna HDD ya Dell ama HP brand maarufu za HDD ni Hitachi, Western Digital, Seagate, Toshiba, Samsung etc.
Ila mkuu Kuna nene na zingine ni slim kwaajili ya laptop nyembamba
 
Hapana hizo hizo 2.5 zipo nyingine nyembamba sana zinatumia kwenye ultra book.
Ni hdd siyo ssd
Mkuu Hata Kama ni nyembamba ila still zipo kwenye category moja ya 2.5 inch na ukiweka kwenye laptop nyengine itakubali, nime angalia Tena online zinazotumika ni 3.5 na 2.5 tu model Tofauti zipo discontinued miaka kibao iliopita unaweza cheki Wikipedia hapa

Mfano Kuna hizi
JTWCK.jpg


Zote ni 2.5 inch form factor japo moja Nene nyengine nyembamba na zinaingiliana, ikitokea moja inapwaya ama inabana unabadilisha tu caddy ya kushikilia HDD.
 
Mkuu Hata Kama ni nyembamba ila still zipo kwenye category moja ya 2.5 inch na ukiweka kwenye laptop nyengine itakubali, nime angalia Tena online zinazotumika ni 3.5 na 2.5 tu model Tofauti zipo discontinued miaka kibao iliopita unaweza cheki Wikipedia hapa

Mfano Kuna hizi
JTWCK.jpg


Zote ni 2.5 inch form factor japo moja Nene nyengine nyembamba na zinaingiliana, ikitokea moja inapwaya ama inabana unabadilisha tu caddy ya kushikilia HDD.
Nimezidi kuelewa alafu wanasem ukiweka HHD ya 500 GB lazima uweke na ram ya 4 gb ni kweli 2gb inashndwa drive ni kweli wakuu?!
 
Nimezidi kuelewa alafu wanasem ukiweka HHD ya 500 GB lazima uweke na ram ya 4 gb ni kweli 2gb inashndwa drive ni kweli wakuu?!
Si kweli mkuu, unaweza ukawa na GB unazotaka na ram unayotaka.

Mfano NAS servers unaweza kuta Ina 16TB (GB Kama 16,000) na ram 512MB ama 1GB.

Operating system na matumizi ndio vinaamua ram na sio hard disk.
 
View attachment 1162565
Alafu na izi zipoje zina utofauti upi na laptop?!
Hazina issue mkuu,
1. Zinatumia Android Ina maana ni Kama tablet tu iliowekwa keyboard
2. Kioo chake ni 1024x600 tegemea quality mbovu.
3. Ukiona mtu kaandika tu quad-core ujue hio ni cortex A7 ama akikuonelea Huruma Sana cortex A53, tegemea iwe slow.

Kama unataka Android kwenye laptop zipo high quality is Kama Phoenix unaweza ukaweka mwenyewe Wala sio ngumu, PC bovubovu la core 2 duo ambalo unapata chini ya laki 2, itakuwa na speed Mara 5 ama zaidi ya hio tablet.
 
Hazina issue mkuu,
1. Zinatumia Android Ina maana ni Kama tablet tu iliowekwa keyboard
2. Kioo chake ni 1024x600 tegemea quality mbovu.
3. Ukiona mtu kaandika tu quad-core ujue hio ni cortex A7 ama akikuonelea Huruma Sana cortex A53, tegemea iwe slow.

Kama unataka Android kwenye laptop zipo high quality is Kama Phoenix unaweza ukaweka mwenyewe Wala sio ngumu, PC bovubovu la core 2 duo ambalo unapata chini ya laki 2, itakuwa na speed Mara 5 ama zaidi ya hio tablet.
Bro chief mkwawa umeniosha ubongo nikajua za mana kumbe utumbo tu asante chief
 
Back
Top Bottom