Kumekucha.
Yasemekana wale wababe wasiojua mipaka ya kazi yao, tayari yamewakuta:
Habari hii kwa sasa inazunguka kama moto wa nyika.
Hii ni kumhusu yule dogo aliyewekwa mtu kati, hadi kumkumbuka mjomba wake katika familia wala si serikali.
Kama hii itakuwa si wao wenyewe katika kutaka kutupoteza maboya, itakuwa ni hatua njema sana. Kwani kimsingi udhwalimu huu haukubaliki.
Watu kama hao ni wazi kuwa hawatufai.
Tuungane kuwakataa wahuni.
-------------
Tulikotoka:
Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Yasemekana wale wababe wasiojua mipaka ya kazi yao, tayari yamewakuta:
Habari hii kwa sasa inazunguka kama moto wa nyika.
Hii ni kumhusu yule dogo aliyewekwa mtu kati, hadi kumkumbuka mjomba wake katika familia wala si serikali.
Kama hii itakuwa si wao wenyewe katika kutaka kutupoteza maboya, itakuwa ni hatua njema sana. Kwani kimsingi udhwalimu huu haukubaliki.
Watu kama hao ni wazi kuwa hawatufai.
Tuungane kuwakataa wahuni.
-------------
Tulikotoka:
Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe