Wale ambao mlishawahi kutuma nauli kwa demu akala na hakuja tukutane hapa.

Hiyo ni tahadhari kabla hujaliwa,unajua kufanya hivyo ni kama umebet.
afadhali ku bet ni hela ndogo, nauli kama sisi wa Kaskazini halafu unaambiwa kama ni basi unaambiwa kabisa tuma ya Kilimanjaro Express sh 36,000 na hela ya kula plus nauli ya kutoka nyumbani na ya kuwaachia wanao baki nyumbani yani laki kasoro 15,
 
Hapo ndipo panahitaji moyo wa plastiki, unaweza ukafumba macho ukatuma baada ya siku mbili anakuambia Shangazi anaumwa sana na ile pesa yote nimepeleka hospitali naomba nitumie nyingine,
 
madogo? hujawahi lizwa sio,
Mimi nina uzoefu na mambo haya kwa miaka 40 hivi !! Nimeshawahi kulizwa na kuliza vile vile

Hii jinsia ya kike ni kama muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Cha Zanzibar ni cha Zanzibar, Lakini cha Tanganyika ni cha wote a.k.a Tanzania. Mwanamke naye cha kwake ni cha kwake Lakini cha mwanaume ni cha wote a k a family
 
Hapo ndipo panahitaji moyo wa plastiki, unaweza ukafumba macho ukatuma baada ya siku mbili anakuambia Shangazi anaumwa sana na ile pesa yote nimepeleka hospitali naomba nitumie nyingine,
clopp kumbe umewahi pigwa kwa style hiyo pole mkuu
 
Mimi nina uzoefu na mambo haya kwa miaka 40 hivi !! Nimeshawahi kulizwa na kuliza vile vile

Hii jinsia ya kike ni kama muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Cha Zanzibar ni cha Zanzibar, Lakini cha Tanganyika ni cha wote a.k.a Tanzania. Mwanamke naye cha kwake ni cha kwake Lakini cha mwanaume ni cha wote a k a family
Odhiambo cairo duh miaka 40???? kumbe ww mtaalam wa kuto***za wengine tumeanza juzi tu tunalia lol
 
Nimepigwa kama mara mbili hivi lakini haikuwa pesa nyingi ni ndani ya wilaya moja
 
Back
Top Bottom