0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,159
- 11,100
Zipo nying sana:-Nipe faida ya kutokuwa na mtoto
1.hutapoteza muda ktk malezi,Mara kwenda kilinik
2.pesa yako haitatumika kwenye maswala ya ada ya watoto
3.unaweza epuka magonjwa ya moyo maana Kuna mitoto inatabia za ajabu znazoweza kukupelekea kupata stress
4.hakutakuwa na kelele nyumba,n.k