mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,843
- 3,128
Karibuni wanavyuo mnaokosa ajira mkishuhudia ajira zikirudi kwa walewale miaka nenda rudi.
Karibuni wamachinga, karibuni mama lishe.
Karibuni wale mliokosa matumaini ndani ya CCM na vyama vingine vya kisiasa.
, karibuni watumishi waaminifu na wenye weledi ndani ya serikali.
Karibuni wafanyabiashara waaminifu (walipa kodi kwa hiyari).
Karibuni wakulima mnaonyanyasika na bei za mazao yenu pembejeo zikiwa bei juu.
Karibuni wananchi wa rangi tofauti,dini tofauti.
Karibuni viongozi wa dini zote nchini.
Karibuni wapinga rushwa na wizi wa mali ya umma.
Lengo ni kushika madaraka mwaka 2025
Viva "UP"
Karibuni wamachinga, karibuni mama lishe.
Karibuni wale mliokosa matumaini ndani ya CCM na vyama vingine vya kisiasa.
, karibuni watumishi waaminifu na wenye weledi ndani ya serikali.
Karibuni wafanyabiashara waaminifu (walipa kodi kwa hiyari).
Karibuni wakulima mnaonyanyasika na bei za mazao yenu pembejeo zikiwa bei juu.
Karibuni wananchi wa rangi tofauti,dini tofauti.
Karibuni viongozi wa dini zote nchini.
Karibuni wapinga rushwa na wizi wa mali ya umma.
Lengo ni kushika madaraka mwaka 2025
Viva "UP"