Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,863
- 5,919
Mapema leo asubuhi Dkt. Yusuf Jamnagerwalla wakati akiogiwa na kituo cha clouds 360, alunukuliwa akiyasema haya.
Ulaji wa nyama ya kitimoto husababisha ugonjwa wa kifafa, ameenda mbali zaidi na kudai kuwa ulaji wa nyama ya kitimoto unasababisha ugonjwa wa kifafa isipopikwa vizuri.
Kazi kwenu walaji wa kitimoto.
Dkt. Yusuf Jamnagerwalla
Ulaji wa nyama ya kitimoto husababisha ugonjwa wa kifafa, ameenda mbali zaidi na kudai kuwa ulaji wa nyama ya kitimoto unasababisha ugonjwa wa kifafa isipopikwa vizuri.
Kazi kwenu walaji wa kitimoto.
Dkt. Yusuf Jamnagerwalla