Sawa sangara endelea kula.Kwani wanaokula kuku hawafi? Perege wewe
Licha ya hivyo kama ni kweli basi asilimia kubwa ya watanzania tungekuwa na kifafaWivu wa kiserikali ili watu wale nyama za wanyama wengine maana kitimoto kwenye mabucha yakulipa kodi hakipo na serikali ishagundua ni nyama inayoliwa sana hivyo wanataka kutisha watu.
Nani alishapelekwa hospital ikadhibitika kweli ana matatizo yaliyotokana na ulaji wa kitimoto
Hii machinjio iko wapi maana niko kwenye maandalizi ya kuanza mradi wa kufuga hii kituWizara ya Afya imewatahadharisha walaji wa nyama ya nguruwe juu ya uwepo wa minyoo aina ya tegu ambayo husababisha kifafa kwa binadamu, na kuwa hatari kubwa ipo kwa wanaokula nyama au mboga ambazo hazijapikwa vizuri. Serikali imesema inaendelea na utafiti wa namna ya kuizuia. View attachment 1274055
Licha ya hivyo kama ni kweli basi asilimia kubwa ya watanzania tungekuwa na kifafa
Tenia Saginata anapatikana kwenye ngo'mbe. Tenia Solium anapatikana kwenye nguruwe. Teniasis disease zote madhara na kuambukiza ni sawa. Tofauti spices za parasites hupatikana kwenye ngo'mbe na nyingine nguruwe.MINYOO aina ya tegu inayotoka kwenye nyama ya nguruwe (cysticercodis) imedaiwa kuwa tishio kwa walaji wa nyama hiyo na kusababisha kifafa kwa binadamu.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Faustine Ndugulile, alitoa tahadhari hiyo wakati akifungua mkutano wa kwanza wa kimataifa jana wa kujadili minyoo ya tegu wa nguruwe, jijini hapa.
Dk. Ndugulile, alisema serikali haijapata chanjo ya kumzuia mnyoo huyo wa nguruwe na ipo katika utafiti wakuangalia namna ya kumdhibiti.
Alisema walaji wa nguruwe wafahamu kuwa kuna minyoo inayopatikana kwenye nyama hiyo kupitia mayai na inaweza kumuathiri binadamu endapo atakula nyama isiyopikwa vizuri na mboga ambazo hazijaoshwa na kupikwa vizuri.
Dk. Ndugulile alisema athari zinazotokana na kula nyama hiyo ni kubwa ikiwamo kupata ugonjwa wa kifafa, tatizo ambalo limeshaingia nchini na limeanza kuathiri zaidi mikoa ya Manyara, Njombe, Mbeya, Sogwe na Arusha, huku asilimia 16 ya wananchi wanaoishi mikoa hiyo wakiathirika kwa ugonjwa huo.
"Jinsi ya kutokomeza ugonjwa huu wa minyoo wa tegu wa nguruwe, ni wafugaji kufuga kisasa na kuacha wanyama wao kuzurura ovyo kwa sababu huacha kinyesi chenye mnyoo huyo katika mboga,” alisema.
Pia, aliwataka wafugaji kupata ushauri kitalaamu wa mifugo na wachinjaji wasichinje bila kizingatia utaalamu unaosimamia wanyama hao.
Aliwataka wanaokula nyama hiyo kuhakikisha inapikwa vizuri na kuiva.
Hata hivyo, alisema wafugaji wanaweza kuzuia kwa mifugo yao kuzagaa na kupima mnyama kabla ya kuchinja.
Mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya magonjwa ya binadamu (NIMR), Prof. Yunus Mgaya, alisema wanatekeleza mradi huo kwa kukusanya taarifa za mnyoo huyo mbaye anapatikana kwa kula mboga zilizobeba mayai yaliotokana na vinyesi vya nguruwe au kinyesi cha binadamu.
"Mradi huu unatekelezwa na nchi zingine mbili Afrika Msumbiji na Zambia na tunashirikiana na wadau wetu wa utafiti wa Ujerumani kutoka Chuo Kikuu cha Munchen,” alisema.
Kaimu Mkuu wa idara ya tiba ya mifugo na afya ya jamii ambaye pia ni Mkurugenzi wa mtandao wa utafiti wa kisayansi Prof. Helena Ngowi, alisema mnyoo huyo ni hatari kwa sababu anaweza kuleta adhari katika utumbo na ubongo wa binadamu.
Ngo'mbe mbona hawasemi (Tenia Saginata)Walaji wa kitomoto muwe makini
Kwani KAFIRI akifariki kisa kifafa cha nguruwe inakuuma nini wewe?Sawa sangara endelea kula.
Kuna kuwaga na ule ugonjwa wa homa ya nguruwe na watu bado wanakula ijekuwa minyoo.Alafu sasa uyu mnyama cha ajabu bei yake ndio ipo juu sana kuliko nyama zingine aya embu tuone itakavyokuwa
Huyo Dr. Yusus Mgaya ni Muislam mwenye kuwashwa washwa.Wivu wa kiserikali ili watu wale nyama za wanyama wengine maana kitimoto kwenye mabucha yakulipa kodi hakipo na serikali ishagundua ni nyama inayoliwa sana hivyo wanataka kutisha watu.
Nani alishapelekwa hospital ikadhibitika kweli ana matatizo yaliyotokana na ulaji wa kitimoto
Kwani KAFIRI akifariki kisa kifafa cha nguruwe inakuuma nini wewe?
Acha unafiki kama haikuhusu achana nayo.
Bibie mbona nyie mnabugia nyama ya ngamia na sisi hatusemi? Biblia imeharamisha nyama ya ngamia kabla ya nguruwe.“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).
Kitabu cha mwisho ni Qur'an.Bibie mbona nyie mnabugia nyama ya ngamia na sisi hatusemi? Biblia imeharamisha nyama ya ngamia kabla ya nguruwe.
Cha mwisho toka kwa nani?Kitabu cha mwisho ni Qur'an.