Walaji wa nguruwe wapewa tahadhari kutokana na uwepo wa minyoo hatari inayoleta kifafa cha binadamu

Kifafa yaani epilepsy husababishwa zaidi na matatizo ya ubongo na siyo miyoo ya tegu.

Ni aibu kauli ya serikali kupitia wizara yake ya afya na wizara mifugo/ufugaji kuja na hoja ya namna hii.

Miyoo husababisha afya ya mwili wa binadamu kwa ujumla wake kuwa dhoofu na siyo uwe na afya nzuri huku una kifafa.

Certain factors may increase your risk of epilepsy:
  • Age. The onset of epilepsy is most common in children and older adults, but the condition can occur at any age.
  • Family history. ...
  • Head injuries. ...
  • Stroke and other vascular diseases. ...
  • Dementia. ...
  • Brain infections. ...
  • Seizures in childhood.
10 Aug 2019
Mayo Clinic - Mayo Clinic › epilepsy
Epilepsy - Symptoms and causes - Mayo Clinic
 
Jinsi ya kutibu kifafa au seizure kwa kutumia upasuaji wa ubongo. Hii maana yake kifafa kwa asilimia kubwa ni masuala ya nevu na ubongo zaidi kuliko infection au wadudu kama minyoo ya tegu.
 
Hiyo kitu ni haramu
Isaya 66:17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma yake aliye katikati; wakila nyama ya nguruwe, na machukizo, na panya; watakoma pamoja, asema Bwana.
Kumbukumbu la torati14:8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
 
Kwanza wapambe na homa ya ini tujue wameshinda vipi ndipo waje na blabla zao huko pamoja na yote kitimoto siachi kula mpaka kifo huo ndio msimamo wangu bibi yangu babu yangu wote tangu nizaliwe nimewakuta ndio mboga kuu na hawajawahi kugua hayo mategu iweje leo labda kama hawajui kupika vizuri sawa
 
Naona wamekuja na mkakati ili wafiche aibu ya uchaguzi feki uliopita. Ili watupotezee. Tangu kuzaliwa sijawahi kuona kitu kinachoipita hiyo mboga ya kitimoto. Sasa sijajua huyu kaibukia wapi kuanzisha huu uongo.
 
Back
Top Bottom