Walah tungeathirika leo endapo tungepoteza hazina hii!!!!

HorsePower,kwanza niambie bahati ni nini,halafu inakuwaje unadhani kuwa kama angekua na elimu angekua zaidi ya hapo?Kwanini unadhani aliibiwa.Kuna mzee mmoja,mpaka anafariki alikuwa hajui kusoma wala kuandika lakini alikuwa na utajiri wa mifugo,majumba,magari n.k,lakini kwenye "kalkuleta" humuibii na aliendesha utajiri wake vyema.Kama elimu iko kama unavema mbona wapo wenye eilimu ambao hata nusu ya mama huyu mama wameshindwa?Kufanikiwa maishani(kujitambua na kupata unachohitaji) hakuhusiani na sayansi wala "jogo"!
Eiyer naomba nimsaidie HorsePower. Ni kwamba hao wenye elimu lakini hawafanikiwi hata nusu ya huyu mama ni kwa sababu pamoja na elimu waliyonayo lakini hawana vipaji alivyonavyo huyu mama. Kumbuka pia kuna wenye vipaji alivyonavyo huyu mama na elimu na wana mafanikio makubwa kuliko ya huyu mama.
 
Last edited by a moderator:
Samahani Mkuu HorsePower. kusema cha ukweli nashikwa na kigugumizi kukubaliana na wewe.
Hivi hujui kwamba kuna kundi kubwa la wasomi tena wenye kiwango kikubwa cha elimu lakini wanatapeliwa kirahisi sana na wale wataalamu wanaojiita maprofesa wa aina ya MAJI MAREFU, ambao hata elimu yao ya msingi ni ya mashaka matupu.
Kuna waganga wengi sana wa asili ambao chumo lao kwa kiasi kikubwa linawategemea hawa tunaowaita wasomi. Zamani kidogo wateja wakubwa wa wataalamu hawa walikuwa ni sisi kina yakhe ambao hatumudu gharama za hospitali zaidi ya kupungwa maruhani, lakini kutokana na wasomi wengi kuwakimbilia wataalamu hawa ambao hata hivyo wengi ni matapeli, gharama za wataalamu hawa zimekuwa kubwa kiasi cha kutisha.
Zamani kidogo ilikuwa kumuona mtaalamu kama ndugu yangu MziziMkavu ilikuwa ni shilingi 50, lakini siku hizi bila mwekundu wa msimbazi hujapigiwa ramli.......LOL

nakubaliana na Eiyer, siku hizi wanaume na hata wanawake wanachagua wenza wao kwa kuangalia kiwango cha elimu au kazi aliyo nayo mtu (kwa upande wa kazi walengwa wakubwa ni wanaume). Utakuta msichana anamtambulisha mpenzi wake kwa mashostito wake, baadae mwanaume akiondoka au wakikutana siku nyingine ataulizwa... "Shosti hivi shem anafanya kazi gani....?"
Ole wake aseme ni mbangaizaji, watamnanga na kumkatisha tamaa, watamdhihaki eti ana mchumba mwenye kasoro, kisa hana ajira........!


Noted Mtambuzi, thanks.
 
Last edited by a moderator:
Eiyer naomba nimsaidie HorsePower. Ni kwamba hao wenye elimu lakini hawafanikiwi hata nusu ya huyu mama ni kwa sababu pamoja na elimu waliyonayo lakini hawana vipaji alivyonavyo huyu mama. Kumbuka pia kuna wenye vipaji alivyonavyo huyu mama na elimu na wana mafanikio makubwa kuliko ya huyu mama.

Nafikiri sikuelewaka, hivyo nashindwa kuendelea. Ila nashukuru kwa mchango na ufafanuzi wenu.
 
Eiyer naomba nimsaidie HorsePower. Ni kwamba hao wenye elimu lakini hawafanikiwi hata nusu ya huyu mama ni kwa sababu pamoja na elimu waliyonayo lakini hawana vipaji alivyonavyo huyu mama. Kumbuka pia kuna wenye vipaji alivyonavyo huyu mama na elimu na wana mafanikio makubwa kuliko ya huyu mama.

So,kipi ni kipi?Elimu au kipaji?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom