Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

Habari ya chakula safi na haramu au najisi,imeandikwa katika biblia walawi 11.ni vema MTU akapitia kujiridhisha.
 
Unaambiwa kama ni magojwa nyama ya nguruwe ni salama zaidi kuliko red meat ya ngombe ,mbuzi na nyinginezo
 
JAMANI ACHENI UTANI NGURUWE MTAMU NYIE KWANI HIYO MINYOO NI YA CHUMA HATA MAFUTA YANAYOKAANGA HAYAWEZI KUWAUA...NI KITU GANI CHA KUTUTENGANISHA NA NGURUWE?,JE NI PROPAGANDA NYEPESI KAMA HIZI?,HASHA!!,JE NI WALE WENYE WIVU KWAMBA NYAMA HII NI TAMU SANA NASI TUNAFAIDI?,HASHA!! JE NI NINI...HAKIKA HAPANA CHA KUTUTENGANISHA NA NGURUWE, NGURUWE MTAMU JAMANI ACHENI UTANI NA PROPAGANDA NYEPESI KAMA HIZI...MARAFIQ KARIBUNI TULE NGURUWE
20131008_131259.jpg
 
nyama zote tunazo kula zinashida sio nguruwe pekee
 
Andiko limekataza.hao wanyama waliotajwa.nashangaa mmeamua kuvunja maandiko.maana wote wamekatazwa.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Haya achana na Kitimoto tujadili hao samaki wasio na magamba.....tuanze na KAMBALE
 
Mbona mnatushambulia sana nyie watu, leo mmeamua kuja kwenye kitimoto
 
Niliwahi kukuta andiko kama hili mahali nikaacha . Sio nikaacha kula KITIMOTO , la hasha . Niliacha kuendelea kusoma .
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sio kila ililotendwa na wayahudi au waarabu liwekwe kwenye uhalali wa dini husika, mengine ni ya kimila zao tu, ni ujinga kuiga hadi mavazi, vyakula, kulala au kuongea ama salamu zao, ni kutokuzijua kweli tu. Unadhani Mtume Muhamadi angezaliwa umasaini waislamu wangevaaje ? Halali ingekuwa ng'ombe, mbuzi na kondoo tu hata kuku haramu. Waarabu walivaa wavaavyo sasa tangu kizazi cha midle persians cha miaka mia 9 kabla ya Yesu. Yesu na mamake hata madafu sijasikia kama walishawahi kuyala achilia mbali ngamia na kambale. Kama wanajamii wa kwao walikuwa na mapokeo yao toka kwa mababu zao kulingana na mila zao zilizotokana na mazingira yao husika mi hayo hayaniusu kabisa,Mungu ni wa wote, hawezi kumtenga mmasai kwa mavazi yake yanayomfaa kwa mazingira na shughuli zao.
Hakuna kitu cha kijinga km kufuatisha kila kitu cha dini
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Wewe hata maana ya neno haramu huijuwi. Haramu ni kile ulichokatazwa.

Utaumiza kichwa tu hapo anataka umhalalishie ale shuwain wee hata utumie balagha hakuelewi.Atakuuliza tena kila kila kilichokuwa twahara kinafaa kuliwa basi.
 
Na wewe unafakamia tu? Ndiyo maana mnafyatuana mpaka makanisani wanaume kwa wanaume, najisi tupu.
Dhumuni langu ilikuwa ujue tu kwamba sio nguruwe tu hafai ila pia ngamia, sungura, kambale, kibua n.k
 
What real matters isnt what number of people Feed this animal and havent experienced the same impact,BUT TO BE ALARMED And take safety precautionS is a way better than to continue being RIGID
 
Nakula kitimoto sasa hivi hapa...

What all matters is hygiene.. pika vizuri chakula chochote kwa usafi haswa..

Tatizo sio kitimoto, tatizo ni usafi na chakula kiive vema..
 
Niliwahi kukuta andiko kama hili mahali nikaacha . Sio nikaacha kula KITIMOTO , la hasha . Niliacha kuendelea kusoma .
Tehe tehe tehe na haka Ka weekend karefu ntakula kilo moja
 
Back
Top Bottom