Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

Acha uyo mnyoo ale hadi nywele lakini siachi kula kitimoto.
 
Kufanya dhambi kwa watu wengi hakufanyi yaliyokatazwa kuwa halali.dhambi IPO pale pale.na jehannam IPO pale pale.hata watu wote kuanzia Adam hadi wa mwisho kuumbwa.tufanye makosa.tutaingizwa jehannam woteee.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Usitoke nje ya mada.....Siachi hii kitu....
 
Andiko limeandika kuhusu Kitimoto tu???Mbona Sungura na Samaki wasio na Magamba hawajadiliwi??
Andiko limekataza.hao wanyama waliotajwa.nashangaa mmeamua kuvunja maandiko.maana wote wamekatazwa.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
makosa mengi yanafanyika wakati wa utayarishaji, hiyo nyama inatakiwa ipikwe kwenye moto mdogo polepole lakini wengi kwa ajili ya biashara wanampika sivyo, ni kweli nguruwe ana minyoo mibaya mno
 
nimeagiza pande moja hapa, rojo na mchicha atupiemo kwa mba afu pilipili mingi na ndizi tatu
 
mwe mwe niache kula kitimoto!!
kwanza umenikumbusha nilikuwa sijafanya oda ya jioni😉😉😉
 
Kiiiitimotoo!! Kitimotooo
Nakupenda Kwa moyo wotee,
Nyaaama tamu kitimoto,
Ladha yako nitam sanaaa,
Nilalapo nakuota weweee
Niamkapo ni heri nyama wee.......malizieni
 
Uongo mwingine bana eti mnyoo anakula ubongo hata mtoto wa std 1 hawezi kukubali ujinga huo
Huyo tutaelewa ni utoto tu, wewe je? Unafikiri parasite anapokuwa mwilini anakula nini? Parasites feed off their hosts huo ndio ukweli wenyewe.
 
Babu zetu tumewakuta wanakula nguruwe mpaka leo hawajapatwa na huo ugonjwa, cha msingi ni kuzingatia kanuni za afya kwa kuichemsha vizuri basi.
Cysts can resist heat of over 100 degrees Celsius hivyo ni ngumu kufa by boiling.
 
Tutaendelea kula na hiyo minyoo ishindwe kwa damu ya Yesu aliye hai.
Kuna watu ni majasiri bwana, wapo wanaoshiriki ngono zembe kila siku ilhali wakijua kuna uwezekano wakuambukizwa virusi vya ukimwi na homa ya ini. So na nyie endeleeni tu kula. Everyone's destiny is already written.
 
Kuna watu ni majasiri bwana, wapo wanaoshiriki ngono zembe kila siku ilhali wakijua kuna uwezekano wakuambukizwa virusi vya ukimwi na homa ya ini. So na nyie endeleeni tu kula. Everyone's destiny is already written.
Kila mtu atakufa kwa muda wake.
 
Kuhn said it is then feces-tainted food, and not undercooked pork, that leads to worms burrowing into the brain.

"These eggs can live for three months in formaldehyde," said Kuhn. "You got to think, sometimes, a person is slapping lettuce on your sandwich with a few extra add-ons there."
Aliyeandika hii article naye alikuwa na agenda yake. Na wanao support nao hata hawajaisoma hii article.

It clearly says chakula chenye kinyesi ndo kinakupa hao wadudu. Hata kwenye kachumbari ya mangi unaweza kuwapata.
 
Back
Top Bottom