Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,854
Labda asambaze ukimwi na Ebola ndo nitaacha laasivyo libenekeee
Kwahyo kwako Biblia na Quran ndo vitabu pekee vya kuongoza ? Si ni vile vya makaratasi au magamba ya miti ndo vilimoandikwa tena kwa herufi na silabi zilizotungwa na binadamu au ulimanisha ipi ? Mungu wako yiko limited na maandishi tena ya lugha ya wanadamu tu !! Mi muongozo wangu toka kwa Mungu wangu tena ndiye wa Ukweli uko spiritual, hata nyoka, swala,miti,na mawe wanavisoma. Mungu wangu hayuko limited na ubinadamu ktk lolote lile liwe la mji, lugha wala race, huyo ndo Mungu wa viumbe vyote. Sihtaji mm Quran ya Muhammad au Bible ya Jesus nimjue YEYE, nyoka asiyeijua lugha ya wanadamu anamjua sembuse mm, kaa hukohuko ukipenda ila nakuonea huruma kwa upotevu wako, naamini hivyo na iwe hivyo.Sawa naona biblia ya kabila lenu imekuruhusu kula nguruwe.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
nguruwe anavyoliwa bongo ni tofauti na anavyoliwa ulaya. hata ng'ombe anavyoliwa hapa ni tofauti na wanavyokula wenzetu. hao wenzetu wanakula nyamba mbichi isiyoiva, nyingine utakuta hadi damudamu bado ipo.ila kwa hapa nguruwe huchomwa kwenye mafuta kwa muda mrefu sana hadi inasinyaa kabisa, ndio inaliwa. ulaya hakuna sehemu wanachoma nyama muda mrefu hivyo. the same applies kwa ng'ombe pamoja na kwamba unaweza kuomba wakaushe, lakini majority wanakula mbichimbichi. ndo maana hayo madudu africa huwei kuyapata. ndugu zako wengi tu wanakula huyo mdudu na wanajua utamu wake.Wanapoambiwa msile nguruwe ni haramu, hata biblia imeandika hivyo, wao wamo tu.
Tena bila hata kujiuliza kwann waliamua kufanya hivyo kwa wakati ule, Hizi dini mbili zote zilishamuona mwenye ukoma kuwa ni najisi katika unajisi wake zamani hizo, Je leo ilete mantiki ? Watu wanashindwa kutofautisha Ujumbe wa kiungu na wa kibinadamu tena nao ni wa vipindi husika tu.Hakuna kitu cha kijinga km kufuatisha kila kitu cha dini
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Isee afadhali umekuja niliwaza sana kuhusu hloUongo mwingine bana eti mnyoo anakula ubongo hata mtoto wa std 1 hawezi kukubali ujinga huo
hapa sipo na alieandika Biblia....nipo na wewe mfia diniNi vizuri ukamuuliza aliyeandika biblia.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hiyo story ni hoax, kinachokaa kwenye ubongo in the event of this zoonose ni cystic form na siyo wormWanasanyansi waendelee kuchunguza zaidi. Ingekuwa ni kweli hiyo kitu basi nchi kama China wangepunguza matumizi ya hiyo nyama na hata huku kwetu pia.
Binafsi bado sijaamini ila kukija na evidence za kutosha nitaamini.
Ah ah ah ah ahNiliwahi kukuta andiko kama hili mahali nikaacha . Sio nikaacha kula KITIMOTO , la hasha . Niliacha kuendelea kusoma .
Kabla ya kukaanga lazima uichemshe mkuu, vinginevyo utaambulia mengine.Hivi kumbe na kiti moto pia huwa kinachemshwaga?ckuwaga najua....I thought kinakaangwa tu mwa babati mwenzangu.
Nguruwe ana minyoo ambao hawafi kwa moto wa kawaida. Yaani ili waweze kufa inabidi hiyo nyama ipikwe kwa moto mkali na kwa kasi ile ile kwa muda wa masaa 24. Hii ina maana kwamba,unawasha jiko la umeme au gesi una-balance moto,unatenga hiyo kitimoto yako kuanzia asubuhi saa 1 mpaka kesho saa 1 asubuhi. Madhara yake huwezi kuyaona leo na hata ukija kuugua baada ya miaka hata 20,hutajua km ni kutokana na kula nguruwe.Nakula kitimoto sasa hivi hapa...
What all matters is hygiene.. pika vizuri chakula chochote kwa usafi haswa..
Tatizo sio kitimoto, tatizo ni usafi na chakula kiive vema..
Nguruwe ana minyoo ambao hawafi kwa moto wa kawaida. Yaani ili waweze kufa inabidi hiyo nyama ipikwe kwa moto mkali na kwa kasi ile ile kwa muda wa masaa 24. Hii ina maana kwamba,unawasha jiko la umeme au gesi una-balance moto,unatenga hiyo kitimoto yako kuanzia asubuhi saa 1 mpaka kesho saa 1 asubuhi. Madhara yake huwezi kuyaona leo na hata ukija kuugua baada ya miaka hata 20,hutajua km ni kutokana na kula nguruwe.
Nguruwe ana minyoo ambao hawafi kwa moto wa kawaida. Yaani ili waweze kufa inabidi hiyo nyama ipikwe kwa moto mkali na kwa kasi ile ile kwa muda wa masaa 24. Hii ina maana kwamba,unawasha jiko la umeme au gesi una-balance moto,unatenga hiyo kitimoto yako kuanzia asubuhi saa 1 mpaka kesho saa 1 asubuhi. Madhara yake huwezi kuyaona leo na hata ukija kuugua baada ya miaka hata 20,hutajua km ni kutokana na kula nguruwe.
Mkuu,Nguruwe ana minyoo ambao hawafi kwa moto wa kawaida. Yaani ili waweze kufa inabidi hiyo nyama ipikwe kwa moto mkali na kwa kasi ile ile kwa muda wa masaa 24. Hii ina maana kwamba,unawasha jiko la umeme au gesi una-balance moto,unatenga hiyo kitimoto yako kuanzia asubuhi saa 1 mpaka kesho saa 1 asubuhi. Madhara yake huwezi kuyaona leo na hata ukija kuugua baada ya miaka hata 20,hutajua km ni kutokana na kula nguruwe.
Hta mkiweka sababu nyingi tutakula tu,Wanapoambiwa msile nguruwe ni haramu, hata biblia imeandika hivyo, wao wamo tu.
Hivi kwa akili hata za kuvukia barabara tu, unaweza kuamini kua unaweza kuwa na mnyoo unao kula ubongo wako alafu ukaishi hata nusu siku!?Wanapoambiwa msile nguruwe ni haramu, hata biblia imeandika hivyo, wao wamo tu.