Nimecomment based on pic ma dia...hayo mengine tuyaahirishe kwanza!!!Rejao bwana! Smile ndo priority? Hizo zinaitwa added advantages. Smile is all he has, hana nyimbo huyo wa kwenu!
Nimecomment based on pic ma dia...hayo mengine tuyaahirishe kwanza!!!
Hahahaha...lolLol!
Uzuri huyo wa kwenu anaendaga na pipi. Na ukata na ukwasi uliopo kijijini watoto wanafurahi kumuona mtu wa kwenye tv. Haya bana, sasa hivi tunataka mwenye hips kubwa.
Mtizame binti wa kushoto. Kwa jinsi anavyoshangaa ni kama wenzie wamevuka mipaka kwa namna walivyomkumbatia Obama.
Hahahaha...lol
Umenivunja mbavu!!
Nimecomment based on pic ma dia...hayo mengine tuyaahirishe kwanza!!!
Bora Kikwete anaweza hata kusmile. Imagine yule babu wa Karatu angekuwa rais...mmmmh!
Kama mmeelekea huko kwaherini...
Ngoja niangalie pa kwenda.
Bora Kikwete anaweza hata kusmile. Imagine yule babu wa Karatu angekuwa rais...mmmmh!