Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,158
Sasa Status tu imekumaliza nguvu, je ukiwafumania live? Si utakufa?Kuna singo mama mmoja nilikua nae serious kwenye mahusiano baba wa mtoto anasema alimtelekeza nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana kiroho Safi Sasa LEO NADHANI ALISAHAU KUNI "HIDE" WhatsApp status kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede ,ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae
Dah inaumiza SanaAchana naye mara moja ulishawahi ona wapi mechi inaanza mwingine anaongoza moja bila.
[emoji120]Makosa Makubwa...huwezi kuwa serious na singo maza ....lazima uonyeshwe kwanza kaburi na mkanda wa mazishi ambao jina la kwenye msalaba linasoma sawa na la kwenye cheti cha kuzaliwa mtoto..tofauti na apo we kula kimasihara na mtoto mhudumie ukipenda sio kama majukumu..
Huyo mwanamke hafai ndio maana aliyemzalisha alikula konaDah inaumiza Sana
Kuna singo mama mmoja nilikua nae serious kwenye mahusiano baba wa mtoto anasema alimtelekeza nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana kiroho Safi Sasa LEO NADHANI ALISAHAU KUNI "HIDE" WhatsApp status kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede ,ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae
Kwanini?Sioni kosa lake
Naomba ushauri nipo katika state mbaya sanaUkome
AiseeeAchana naye mara moja ulishawahi ona wapi mechi inaanza mwingine anaongoza moja bila.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukome
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Makosa Makubwa...huwezi kuwa serious na singo maza ....lazima uonyeshwe kwanza kaburi na mkanda wa mazishi ambao jina la kwenye msalaba linasoma sawa na la kwenye cheti cha kuzaliwa mtoto..tofauti na apo we kula kimasihara na mtoto mhudumie ukipenda sio kama majukumu..