Kiingereza cha jaji kina utusitusiWakuu,
Mahakama Kuu imeyapiga chini mapingamizi ya serikali kuzuia kesi ya RCs na DCs kuweka watu ndani bila sababu.
Naambatanisha page 1 & 15
View attachment 837863
View attachment 837864
dala yake aje shangazi Presida wa TLSIla skuiz kdg kawa snitch nazan maisha yamekua taiti
Hivi huyu jamaa ana kichogo ?sijawai kumuona kwa nyuma ktk pichaKwa hisani ya watu wa marekani View attachment 838336
Duara hua lina kichogo?Hivi huyu jamaa ana kichogo ?sijawai kumuona kwa nyuma ktk picha
Mkuu, katika kizazi hiki na kijacho..hatatokea Mwalusanya Mwingine as Judicial judge or magistrate whatsoever. Kizazi kile cha dhahabu cha Justice Lugakingira, Mwalusanya and Samatha hakitatokea tena. Not now, not ever!Another Justice Mwalusanya in the making?
The sun is going down to chioluWakuu,
Mahakama Kuu imeyapiga chini mapingamizi ya serikali kuzuia kesi ya RCs na DCs kuweka watu ndani bila sababu.
Naambatanisha page 1 & 15
View attachment 837863
View attachment 837864
Hii inamaanisha nini labda msomi nguli Petro E. Mselewa atuambie
na kweli! Hao ni tunu hazitatokea tena! Kama ndio akina Kabudi, ndio wataalamu wa sheria, basi THE DOOMED JUDICIARY! MWALUSANYA, KATITI, LUGAKINGIRA, MROSO, SAMATHAMkuu, katika kizazi hiki na kijacho..hatatokea Mwalusanya Mwingine as Judicial judge or magistrate whatsoever. Kizazi kile cha dhahabu cha Justice Lugakingira, Mwalusanya and Samatha hakitatokea tena. Not now, not ever!
na kweli! Hao ni tunu hazitatokea tena! Kama ndio akina Kabudi, ndio wataalamu wa sheria, basi THE DOOMED JUDICIARY! MWALUSANYA, KATITI, LUGAKINGIRA, MROSO, SAMATHA
Uko sahihi. Nashangaa wanaomtukuza kabudi.na kweli! Hao ni tunu hazitatokea tena! Kama ndio akina Kabudi, ndio wataalamu wa sheria, basi THE DOOMED JUDICIARY! MWALUSANYA, KATITI, LUGAKINGIRA, MROSO, SAMATHA
Watu wa CCM ambao akili zao ziko tumboni!Uko sahihi. Nashangaa wanaomtukuza kabudi.