Naona zimepita wiki mbili naona kimya ndo nauliza wenye uzoefu na hii inakaa wiki mbili kweli??? Nais hujaelewa nilichoulizaUmeambiwa kabisa,huelewi lugha?
Ungeandika tu kuwa zimepita wiki mbili hujapata notification yoyote... Any way labda hukutimiza matwaka yao... Ila kuchelewa kawaida ila ukiona too much basi mchezo umeishaNaona zimepita wiki mbili naona kimya ndo nauliza wenye uzoefu na hii inakaa wiki mbili kweli??? Nais hujaelewa nilichouliza
Sent using Jamii Forums mobile app
No natumia .comInaweza ikachukua zaidi ya huo muda. Unatumia blogspot?
Namaanisha CMS ni wordpress au blogspot(blogger)