Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,453
- 40,442
Hapana mkuu,mengine tunayaendekeza tuHiyo ndio maana ya nchi maskini..
Kwa nini mkuu?
Inawezekana ikawa kweli,hatutaki wengine wafanikiwe
Kwa nini inakuwa hivyo mkuuMhh kweli
Nadhani watakuwa na ubinafsi uliopitilizaNi kweli, kuna baadhi ya watu wamejaaliwa kipato lakini ni wazito kuwasaidia ndugu zao, sijui mtu anaonaje kumsaidia ndugu yake?
Badala yake anawasaidia watu baki na kuwaacha ndugu zake.
Na msaada sio lazima kumpa pesa, bali unaweza kutafutia nafasi nzuri na yeye akatafuta riziki yake.
Na huu ndio msaada bora.
ha ha ha ha ila inaumiza sana mkuuWakija humu Kama yatawachoma utasikia wanasema undugu lawama mara undugu si kufanana bali kufaana
Inabidi kuwabeba ata kwa bakora mkuuKuna watu awabebeki kumbukeni na hili...kila mmoja ula kwa jasho lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiweka kata we kunja nne kwani nini maisha ndio haya haya hata Mimi nina ndugu zangu ni vigogo serikalini lakini sijawahi kuthubutu kuomba hata mchango wa sherehe Sina maana mimi roho mbaya bali mtu akishajiona maisha ameyamaliza huwa Sina time nae hata kidogo ujeuri ujeuri tuha ha ha ha ila inaumiza sana mkuu
Haujui history za watu ndugu.... hao unaowaona wamechoka yawezekana hawakutaka au walipendwa sana na wazazi, wakaacha shule, hawakutaka kazi, wakabweteka, wengi nao ukikaa nao karibu mnalost nyote kwa pamoja ndio maana wengi huwaacha wakizaliana na baadae wanatia huruma wakati ukweli wa mambo wanaujua. Waafrica tunamatatizo mengi sana.... uzazi wa mpango hatutaki, kazi hatutaki, uchawi sisi na majjngu juu.Binadamu wanachangamoto nyingi katika maisha, mtu anaweza kupambana katika maisha yake mwanzo mwisho bila kupata ushirikiano kutoka kwa ndugu zake au ukoo anaotoka. Wanaweza kuwepo waliofanikiwa, lakini wanakuwa hawako tayari kuwasaidia ndugu wengine waweze kufanikiwa.
Kwa waliopo mijini, unaweza kuona mtu anamafanikio makubwa na inapotokea yeye kufariki na kurejeshwa kwao kwa maziko, unakuta yeye alivyokuwa akiishi ni tofauti na ndugu zake wengine. Unakuta ndugu zake wamechokachoka wana afya dhaifu kutokana na umasikini.
Kuthibitisha hili fanya utafiti mdogo, nenda kwenye misiba ya watu waliofanikiwa......ukiona walioshiba na afya njema jua hao ni marafiki, na ukiona watu waliochokachoka jua hao ni ndugu.
Wakuu tupunguze ubinafsi.
ha ha ha ha lakini ni kwa nini inakuwa hiviAkiweka kata we kunja nne kwani nini maisha ndio haya haya hata Mimi nina ndugu zangu ni vigogo serikalini lakini sijawahi kuthubutu kuomba hata mchango wa sherehe Sina maana mimi roho mbaya bali mtu akishajiona maisha ameyamaliza huwa Sina time nae hata kidogo ujeuri ujeuri tu
Nadhani pia,ili kuondoa lawama ni bora umuwezeshe akiharibu ndio liwe funzo kwake.Haujui history za watu ndugu.... hao unaowaona wamechoka yawezekana hawakutaka au walipendwa sana na wazazi, wakaacha shule, hawakutaka kazi, wakabweteka, wengi nao ukikaa nao karibu mnalost nyote kwa pamoja ndio maana wengi huwaacha wakizaliana na baadae wanatia huruma wakati ukweli wa mambo wanaujua. Waafrica tunamatatizo mengi sana.... uzazi wa mpango hatutaki, kazi hatutaki, uchawi sisi na majjngu juu.
Wengi wa hao waliochoka wanastahili.
Tuache kuwashutumu waliofanikiwa kwani ni matunda ya jitihada zao katika maisha...... huwa nawakubali sana matajiri maana wananipa uchu wa kupata changu.
SIKUUMWA KULALAMIKA, NAPAMBANA NA HALI YANGU.
NB: MASIKINI WENGI WAJEURI