WAKUU TUNUZANE BANK YENYE KUTOA RIBA NDOGO KWENYE MIKOPO YA WAJIRIWA

MUBIKU

JF-Expert Member
Oct 24, 2014
276
376
Hali inshakuwa mbaya hii leo covid, kesho utasikia omicronic imefika muda sasa nimeamua kufanya maamuz magumu, nataka kuchukua changu mapema(MKOPO WA BANK) Maana sijui ndo mwisho wa dunia umekaribia mambo yamekuwa hayaeleweki kabsa, nimewaza naeza kufa bila hata kukopa bank wakati fursa hiyo ninayo.
Hivyo wakuu wenye expirience ya MIKOPO naomba mnijuze benk ipi yenye riba ndogo kwenye makato ya mshahara kila mwezi. Nawasilisha.
 
Hali inshakuwa mbaya hii leo covid, kesho utasikia omicronic imefika muda sasa nimeamua kufanya maamuz magumu, nataka kuchukua changu mapema(MKOPO WA BANK) Maana sijui ndo mwisho wa dunia umekaribia mambo yamekuwa hayaeleweki kabsa, nimewaza naeza kufa bila hata kukopa bank wakati fursa hiyo ninayo.
Hivyo wakuu wenye expirience ya MIKOPO naomba mnijuze benk ipi yenye riba ndogo kwenye makato ya mshahara kila mwezi. Nawasilisha.
Naungana na wewe mkuu ngoja nisubili majibu ya wadau
 
Hali inshakuwa mbaya hii leo covid, kesho utasikia omicronic imefika muda sasa nimeamua kufanya maamuz magumu, nataka kuchukua changu mapema(MKOPO WA BANK) Maana sijui ndo mwisho wa dunia umekaribia mambo yamekuwa hayaeleweki kabsa, nimewaza naeza kufa bila hata kukopa bank wakati fursa hiyo ninayo.
Hivyo wakuu wenye expirience ya MIKOPO naomba mnijuze benk ipi yenye riba ndogo kwenye makato ya mshahara kila mwezi. Nawasilisha.
Ngoja nikazie kidogo ukitaka kupata mkopo kwenye bank yenye riba nafuu nenda hizi benki zinazoendeshwa kwa misingi ya dini ya kiislamu hao hawana riba kubwa mfano ndio nimeutaja hapo juu.
 
Hali inshakuwa mbaya hii leo covid, kesho utasikia omicronic imefika muda sasa nimeamua kufanya maamuz magumu, nataka kuchukua changu mapema(MKOPO WA BANK) Maana sijui ndo mwisho wa dunia umekaribia mambo yamekuwa hayaeleweki kabsa, nimewaza naeza kufa bila hata kukopa bank wakati fursa hiyo ninayo.
Hivyo wakuu wenye expirience ya MIKOPO naomba mnijuze benk ipi yenye riba ndogo kwenye makato ya mshahara kila mwezi. Nawasilisha.

pbz bank ltd.utanishukuru
 
Hii benk PBZ inajiendeshaje sasa bila riba? Kwa sisi tulio mikoani huku tunapataje huduma. Mathalani Mimi niko huku pembezoni mwa nchi huku Katavi.
 
Hii benk PBZ inajiendeshaje sasa bila riba? Kwa sisi tulio mikoani huku tunapataje huduma. Mathalani Mimi niko huku pembezoni mwa nchi huku Katavi.
Sio kwamba hawana riba hapana ila riba zao ni nafuu ukilinganisha na hizi benki nyingine
 
Hii benk PBZ inajiendeshaje sasa bila riba? Kwa sisi tulio mikoani huku tunapataje huduma. Mathalani Mimi niko huku pembezoni mwa nchi huku Katavi.
Hakuna bank isiyo na riba hata iwe ya kiislam.

Sana sana utaambiwa kwa jina jingine, kama FAIDA.
 
Back
Top Bottom