BOT yapunguza riba ya mikopo kwa Bank za ndani,toka 16% mpaka 12%

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
Nimeona tangazo la BOT kushusha "interest Rate" kutoka 16% mpaka 12% kwa Bank za kibiashara zinapokuwa zinakopa kutoka Benki Kuu Ya Tanzania (BOT)

Punguzo hili litaanza mwezi March.Nachotaka kujua toka kwa wataalamu wa uchumi,punguzo hili lina athari gani chanya katika kukua kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja,kaya na mpaka Taifa?

Na je,kushuka kwa "interest Rate" hiyo,inaweza kusababisha kushuka kwa "riba" ya mikopo ambayo wafanyabiashara ndogondogo ma wafanyakazi hukopa kupitia bank za kibiashara kama CRDB na NMB??

Maana kama wao wamepunguziwa huko wanakokopa,kwanini wasipunguze huku wanakokopwa?

[HASHTAG]#UchumiWaViwanda[/HASHTAG] [HASHTAG]#TzYaViwanda[/HASHTAG] [HASHTAG]#UchumiWaKati[/HASHTAG]
image.jpeg


================================
Ufafanuzi kutoka kwa baadhi ya wadau

Kuna kitu mtoa mada anachanganya kama sio Mimi, kuna tofauti kati ya discount rate na interest rate.

Barua inaonesha kilichoshuka ni discount rate. Mfano nikiwa nakuuzia Gari 10m kwa discount ya 16% halafu baadae nikashusha discount kuwa 12% ni wapi utalipa hela nyingi?

Kwa uelewa wangu discount rate ikipungua Wewe mlipaji unalipa zaidi na discount rate ikipanda unalipa kidogo. Kwahiyo BOT walichofanya kitasababisha commercial banks wapandishe interest rates charged by them kwetu sisi wakopaji.

Alichoongea mkuu jbmukulu ndo jibu sahihi.

Concept ya discounting rate iko hivi:

BOT anapotaka kukopa kutoka kwa makampuni (benki zikiwemo) anatangaza Treasury Bills au Treasury Bonds; sasa mfano akitaka kukopa Tshs 100,000,000/-, anaidiscount kwa 16%, maana yake wewe unayemkopesha utampa Tshs 84,000,000 (maana yake ameiondoa ile 16%) lakini yeye atakurudishia sh mil 100,000,000/- kwa hiyo kampuni itakayomkopesha inapata faida ya 16,000,000 + interests zinazochajiwa kila mwezi.

Sasa kwa kuipunguza kutoka 16% mpaka 12% maana yake ni kwamba BOT anawabana wanaomkopesha, badala ya kumpa 84,000,000/- sasa itabidi kampuni husika impe 88,000,000/-, discount ni 12,000,000/- badala ya ile 16,000,000/- ya awali.

Kwa maana hiyo basi, wanaomkopesha wanaumia zaidi sasa hivi kuliko awali.

NOTE: Hapo nimetumia hesabu rahisi, ila wao wana jinsi wanavyocalculate hayo makitu yao mpaka kufikia jibu sahihi, ila uhalisia ni huo kwamba kumkopesha BOT gharama zimeongezeka zaidi ya awali.

Nimeona paragraph ya pili kutoka mwisho wamezungumzia kuhusu Bank zitakazoenda kukopa BOT as last resort nazo kuna marekebisho.

cc barafu

Mkuu barafu nitaomba hii response yangu na ya jbmukulu uzipandishe juu ili kurekebisha uelewa wa nini tulichodhani ndicho kumbe sicho, naona watu wanaimwagia serikali sifa kwa kutoelewa nini ni nini hapo.

Obvious,kama cost of fund kwa hizi benk zitapungua maana yake interest za mikopo watapunguza.

Lakin pia interest kwa savers nazo zitaenda down. Hapo inategemea na ishu ya liquidity kuwa bank inazipata vipi.

All in all it is a good indication to the economy on financial aspect.
 
Nimeona tangazo la BOT kushusha "interest Rate" kutoka 16% mpaka 12% kwa Bank za kibiashara zinapokuwa zinakopa kutoka Benki Kuu Ya Tanzania (BOT)

Punguzo hili litaanza mwezi March.Nachotaka kujua toka kwa wataalamu wa uchumi,punguzo hili lina athari gani chanya katika kukua kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja,kaya na mpaka Taifa?

Na je,kushuka kwa "interest Rate" hiyo,inaweza kusababisha kushuka kwa "riba" ya mikopo ambayo wafanyabiashara ndogondogo ma wafanyakazi hukopa kupitia bank za kibiashara kama CRDB na NMB??

Maana kama wao wamepunguziwa huko wanakokopa,kwanini wasipunguze huku wanakokopwa?

[HASHTAG]#UchumiWaViwanda[/HASHTAG] [HASHTAG]#TzYaViwanda[/HASHTAG] [HASHTAG]#UchumiWaKati[/HASHTAG]
View attachment 476672

Yani hata jambo dogo kama hili unataka uwasubiri wachumi kweli?
Hivi mfano pombe inapo punguziwa kodi kinachotokea ni nini?....
 
Obvious,kama cost of fund kwa hizi benk zitapungua maana yake interest za mikopo watapunguza. Lakin pia interest kwa savers nazo zitaenda down. Hapo inategemea na ishu ya liquidity kuwa bank inazipata vipi.
All in all it is a good indication to the economy on financial aspect.
 
Nimeona tangazo la BOT kushusha "interest Rate" kutoka 16% mpaka 12% kwa Bank za kibiashara zinapokuwa zinakopa kutoka Benki Kuu Ya Tanzania (BOT)

Punguzo hili litaanza mwezi March.Nachotaka kujua toka kwa wataalamu wa uchumi,punguzo hili lina athari gani chanya katika kukua kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja,kaya na mpaka Taifa?

Na je,kushuka kwa "interest Rate" hiyo,inaweza kusababisha kushuka kwa "riba" ya mikopo ambayo wafanyabiashara ndogondogo ma wafanyakazi hukopa kupitia bank za kibiashara kama CRDB na NMB??

Maana kama wao wamepunguziwa huko wanakokopa,kwanini wasipunguze huku wanakokopwa?

[HASHTAG]#UchumiWaViwanda[/HASHTAG] [HASHTAG]#TzYaViwanda[/HASHTAG] [HASHTAG]#UchumiWaKati[/HASHTAG]
View attachment 476672
Hii itachochea ukuwaji wa uchumi ukizingatia ribs za taasis nyingne za fedha zitapungua hvyo tunatarajia investment nying kuongezeka. Pia mfumuko wa bei utashuka sana hvyo kuleta unafuu kwa watu wa kipato kidogo.
 
mie ni banker ila sijaona bank zikikopa BOT mkopo wa BOT ni intraday unakopa na unarudisha siku hiyo hiyo ukishindwa unageuzwa lombard unapigwa penalty ya hatari kwa msingi huo bank hazikopi BOT kushuka kwa hii rate ndio standards industry rate ila kwa tanzania haina impact sana kwasababu bank zipo huru kujipangia interest zitakavyo

sema hii inaweza kuzisaidia bank kupata pesa zaidi kwasababu kuwekeza kwenye Treasury bill kutakuwa kuna return ndo 12 kuliko fixed deposit ambapo banks zinatoa mpaka 16 percent return for the same period
 
Nimeona tangazo la BOT kushusha "interest Rate" kutoka 16% mpaka 12% kwa Bank za kibiashara zinapokuwa zinakopa kutoka Benki Kuu Ya Tanzania (BOT)

Punguzo hili litaanza mwezi March.Nachotaka kujua toka kwa wataalamu wa uchumi,punguzo hili lina athari gani chanya katika kukua kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja,kaya na mpaka Taifa?

Na je,kushuka kwa "interest Rate" hiyo,inaweza kusababisha kushuka kwa "riba" ya mikopo ambayo wafanyabiashara ndogondogo ma wafanyakazi hukopa kupitia bank za kibiashara kama CRDB na NMB??

Maana kama wao wamepunguziwa huko wanakokopa,kwanini wasipunguze huku wanakokopwa?

[HASHTAG]#UchumiWaViwanda[/HASHTAG] [HASHTAG]#TzYaViwanda[/HASHTAG] [HASHTAG]#UchumiWaKati[/HASHTAG]
View attachment 476672
Sina uhakika km riba kwenye mabenki itapungua lakini bado haitoshi ili kuwe na mzunguko mzuri wa pesa ni Lazima serilkali ilipe madeni ya ndani kwani bado wafanya biashara hatuta weza kukopa mikopo hailipiki wanao kopa kwa sasa ni Defaulters
 
Tunataraji itapungua mana gharama ya fedha kwao itapungua
Not: hapo wameshusha kwa takriban 4% hii haina maaana na kwenu itashuka kwa 4%
 
Back
Top Bottom