Solo Traveller
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,720
- 5,177
Wakuu nasoma chuo X hapa dar
Sasa Kuna matatizo kwenye mfumo wangu wa matokeo
Matokeo yalivyo yanaonesha Nina incomplete kibao na ada zimeongezeka na muda wa kufanya mithiani imebaki wiki moja tu.
Sasa nataka kupanda juu ya ghorofa ahsubui kabisa nijaze watu nataka kujitupa ili nisaidiwe kuonana na mkuu wa chuo.
Wakuu hiyo njia inaweza kuwa sawa au itacost?
Sasa Kuna matatizo kwenye mfumo wangu wa matokeo
Matokeo yalivyo yanaonesha Nina incomplete kibao na ada zimeongezeka na muda wa kufanya mithiani imebaki wiki moja tu.
Sasa nataka kupanda juu ya ghorofa ahsubui kabisa nijaze watu nataka kujitupa ili nisaidiwe kuonana na mkuu wa chuo.
Wakuu hiyo njia inaweza kuwa sawa au itacost?