mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,954
- 9,857
Ushirombo ipo mkoa mpya wa Geita,wilaya inaitwa Bukombe,makao makuu ya wilaya ni Ushirombo,pole sana mkuu,fanya kama umesahau,ukianda kwa waganga wa jadi,utauza mpaka hiyo gali yako.Huyu ni msumbwa au msukuma sio mzaramo
Ushirombo iko kahama mzee.
Mkuu pole sana wezi some times unatamani umalizane nao bila kutoa taarifa kokote pale unapofanikiwa kumkamata.