Wakuu nimeamini pombe sio chai

Wakuu nimeamini pombe sio chai

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,469
Wakuu natumai hamjambo.

Jana jirani yangu karudi usiku akiwa kala maji yakutosha kawakuta sitting room mkewe na watoto wanatizama TV.

Jamaa kafika pale anamwambia mkewe, twende chumbani nikakut*** bila hata kumung'unnya maneno, mke anamwambia hivi unaakili? Jamaa akajibu, kwani nilikuoa ajili ya nini kama si kukutomba.

Mama ikabidi atumie busara akawaambia watoto wake wakalale na wampuuze baba yao pombe zimemvuruga akili, watoto wakenda kulala na wao pia wakaingia chumbani.

Sasa jamaa leo anawaonea aibu sana wanae utadhani alilazimishwa kujitoa akili.

Wakuu tunyweni kiasi tusijejishushia heshima kwa familia zetu.
 
wakuu natumai hamjambo.

jana jirani yangu karudi usiku akiwa kala maji yakutosha kawakuta sitting room mkewe na watoto wanatizama tv...

jamaa kafika pale anamwambia mkewe, twende chumbani nikakut*mbe bila hata kumung'unnya maneno, mke anamwambia hivi unaakili?? jamaa akajibu, kwani nilikuoa ajili ya nini kama si kukutomba..

mama ikabidi atumie busara akawaambia watoto wake wakalale na wampuuze baba yao pombe zimemvuruga akili, watoto wakenda kulala na wao pia wakaingia chumbani...

sasa jamaa leo anawaonea aibu sana wanae utadhani alilazimishwa kujitoa akili.

wakuu tunyweni kiasi tusijejishushia heshima kwa familia zetu.
Mi hapa naona tatizo sio pombe bali umbea. Na hili janga la Corona unaenda kufanya nini kwenye nyumba za watu?... Kuonesha ulivyokubuhu kwa umbea na leo tena umefuatilia kujua nini kimejiri tena kwa rafiki yako

Umbea hauna posho. Stay home, stay safe
 
Hahaha akome
Na hayo ndio madhara ya kutokuwa na kauli nzuri mpaka mdomo unakomaa kwenye kutoa lugha zisizo na staha pasipo kuangalia muktadha wa eneo husika.
Shame on him...

Hahahahaaaa, kumbe mkuki kwa nguruwe! Hao viongozi wa upinzani mbona hawaambia hivyo?
 
Mi hapa naona tatizo sio pombe bali umbea. Na hili janga la Corona unaenda kufanya nini kwenye nyumba za watu?... Kuonesha ulivyokubuhu kwa umbea na leo tena umefuatilia kujua nini kimejiri tena kwa rafiki yako

Umbea hauna posho. Stay home, stay safe
mkuu usiishi kwa kudhani
 
Hahaha akome
Na hayo ndio madhara ya kutokuwa na kauli nzuri mpaka mdomo unakomaa kwenye kutoa lugha zisizo na staha pasipo kuangalia muktadha wa eneo husika.
Shame on him...
Tatizo neno alilotumia ndio limeharibu kila kitu,angepaswa kutumia neno jepesi lenye maana ile ile,angepatiwa anachokitaka bila kuleta usumbufu kwa watoto...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom