Wakuu nimeamini pombe sio chai

Wakuu nimeamini pombe sio chai

sikulaumu mkuu coz uwezo wako wakufikiria ndo unaishia hapo.
Ulishachemsha, na sio mimi wapo wengi huko wameshakuzodoa! Uwezo wako wa kufikiri na kutunga mada nzuri ndo umeishia hapo ndo maana unamtungia mada jirani yako! Usifikiri watu hawakuelewi
 
Ulishachemsha, na sio mimi wapo wengi huko wameshakuzodoa! Uwezo wako wa kufikiri na kutunga mada nzuri ndo umeishia hapo ndo maana unamtungia mada jirani yako! Usifikiri watu hawakuelewi
we ni fool aid
 
Wakuu natumai hamjambo.

Jana jirani yangu karudi usiku akiwa kala maji yakutosha kawakuta sitting room mkewe na watoto wanatizama TV.

Jamaa kafika pale anamwambia mkewe, twende chumbani nikakut*mbe bila hata kumung'unnya maneno, mke anamwambia hivi unaakili? Jamaa akajibu, kwani nilikuoa ajili ya nini kama si kukutomba.

Mama ikabidi atumie busara akawaambia watoto wake wakalale na wampuuze baba yao pombe zimemvuruga akili, watoto wakenda kulala na wao pia wakaingia chumbani.

Sasa jamaa leo anawaonea aibu sana wanae utadhani alilazimishwa kujitoa akili.

Wakuu tunyweni kiasi tusijejishushia heshima kwa familia zetu.
Wewe umeyajuaje yote hayo wakati mtu alikuwa yeye, mke na watoto.

Huyu utakuwa wewe undercover
 
Hahaha akome
Na hayo ndio madhara ya kutokuwa na kauli nzuri mpaka mdomo unakomaa kwenye kutoa lugha zisizo na staha pasipo kuangalia muktadha wa eneo husika.
Shame on him...
Well commented

F@nn¥[emoji769]
 
hahaaa pombe jamn inavisa vingi mimi kiukwel nimeona niache tu make tunakoelekea mhmm nitakua kituko.

Nishapiga matukio kiasi mwenyewe najiona nasema hapana.

Saa hizi nina week na siku mbili sijanywa na sitaki kunywa tena maishani mungu nibaliki jamani.
Week kwangu ni maendeleo makubwa sijawai kuona na sijisikii hamu hapa.
Shetani najua unateseka sana lakin chama lako [emoji1616]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom