Professor of jungle
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 480
- 942
Inawahusu wazee wa totoz na gambe.
Nipo njiani nasogea kibaya nipeni bar nzuri guest za Bei chee.
Nipo njiani nasogea kibaya nipeni bar nzuri guest za Bei chee.
Sijaomba ushauri mkuu.Acha uzinzi, uokoke. Yesu anakupenda na roho yako ni ya thamani. Tengeneza umilele wako leo kwa kumwamini Yesu na kuacha dhambi ikiwemo huo uzinzi.
Swadakta mkuu
Panda gari uje hapa mrijo juu
Sijawah pata gono mkuu.Ukimaliza kupewa chimbo upite na huku.....hatutaki kuombwa ushauri mara mbili mbili
![]()
Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa
Mm bado ntabaki na msimamo wangu uleule kwamba hawa ndugu zetu tuliowatoa ubavuni mwetu japo ni watamu lakini pia wanatusababishia matatizo makubwa mno. HISTORIA YA KWELI Mnamo mwaka juzi mwezi wa sabasaba hizi kulitokea kadada kamoja kalinisumbua sana mungu si athumani akakubali ombi mtoto...www.jamiiforums.com
Huu uzi bila dronedrake Poor Brain Mbaga Jr sio uziUkimaliza kupewa chimbo upite na huku.....hatutaki kuombwa ushauri mara mbili mbili
![]()
Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa
Mm bado ntabaki na msimamo wangu uleule kwamba hawa ndugu zetu tuliowatoa ubavuni mwetu japo ni watamu lakini pia wanatusababishia matatizo makubwa mno. HISTORIA YA KWELI Mnamo mwaka juzi mwezi wa sabasaba hizi kulitokea kadada kamoja kalinisumbua sana mungu si athumani akakubali ombi mtoto...www.jamiiforums.com
Inasikitisha sana mkuu 😂
linda nyeti zako linda uhai na pesa zakoInasikitisha sana mkuu 😂
Kama huna hela hii ndio tabia za kujikakamua.Inawahusu wazee wa totoz na gambe.
Nipo njiani nasogea kibaya nipeni bar nzuri guest za Bei chee.
Ndo mana mm napiga nyeto tuu, ili kulinda uvulana wangu, uhai na pesa zangu 😎linda nyeti zako linda uhai na pesa zako
Nimeomba mwogozo, ww unaleta taarabu.Kama huna hela hii ndio tabia za kujikakamua.
Mwenye uhakika na mfuko huwa anaenda tu anajua huko huko kitafahamika
Mpaka kibaya haha duh umenikumbusha mbali sana..
Haya mabint wa kirangi kimbulu na kigogo leo wanapata mgeni..
mchezo mbaya sana jogoo atashindwa kuwika ukiwa na demuNdo mana mm napiga nyeto tuu, ili kulinda uvulana wangu, uhai na pesa zangu 😎