Wakuu ni hatari sana

Wakuu ni hatari sana

Hivi sasa na kuendelea tunaishi humu.

Maana watu ni wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi.

Wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema.

Wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu.

Wafiraji, wafirwaji, wajuaji Yani ni vurugu tupu.
Wanaugonjwa unaitwa mania
 
Dunia ipo, tuliikuta na tutaicha. Haya mambo ukisoma historia kuna washenzi walipata kutokea nyakati hizi tukasome.

Muhimu, keep your head up and live your life.
 
Dini hazisaidii kushape watu kuwa wema bali waoga wa kisichooneakana. Imani na Utii kwa Mungu ndio hufinyanga watu kuwa wema
Malezi bora ndio hufanya watu kuwa wema na imani ya Mungu hufanya watu kuwa wanafki
 
Malezi bora pekee hayatoshi,Imani kwa Mungu humpa mtu nguvu ya kuuishi wema consistently!
Huu utumbo umeandika sio kazi yangu kutoa pumba za kiimani ukizojifunza toka ukiwa mtoto ,hivyo unaweza kujifunza mwenyewe kama una akili.
 
Dunia ipo, tuliikuta na tutaicha. Haya mambo ukisoma historia kuna washenzi walipata kutokea nyakati hizi tukasome.

Muhimu, keep your head up and live your life.
Hakika Mkuu.
 
Nikushauri kitu achana nao fanya hivi wewe uko ndani yao utachagua kundi tu
Unajua leo watu wanaujinga tena unaenda mbali ndugu na wamtaani kwenu bac
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom