Wakuu ni hatari sana

Wakuu ni hatari sana

fact only

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
975
Reaction score
1,356
Hivi sasa na kuendelea tunaishi humu.

Maana watu ni wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi.

Wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema.

Wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu.

Wafiraji, wafirwaji, wajuaji Yani ni vurugu tupu.
 
Hivi sasa na kuendelea tunaishi humu.

Maana watu ni wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi.

Wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema.

Wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu.

Wafiraji, wafirwaji, wajuaji Yani ni vurugu tupu.
Tangu Sodoma na Ghomora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom