fact only
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 975
- 1,356
Hivi sasa na kuendelea tunaishi humu.
Maana watu ni wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi.
Wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema.
Wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu.
Wafiraji, wafirwaji, wajuaji Yani ni vurugu tupu.
Maana watu ni wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi.
Wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema.
Wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu.
Wafiraji, wafirwaji, wajuaji Yani ni vurugu tupu.