The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 466
- 704
Wakuu habari za mchana!!!!!!!!!
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika,
Kuna apps zinaweza pakua apps nyingine na ukawa una serve space kwenye simu kama iyoo parallel space sema ii app inazingua kama kuna mtu anaijua ilio bomba anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika,
Kuna apps zinaweza pakua apps nyingine na ukawa una serve space kwenye simu kama iyoo parallel space sema ii app inazingua kama kuna mtu anaijua ilio bomba anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app