Wakuu naombeni ushauri kuna kitu sijaelewa

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,223
22,300
Huwa inamaanisha nini ukiona mpenzi wako kapost picha yako watsapp status halafu caption kaandika UNCLE?
20231008_125128.jpg
 
Uncle ni mjomba.

Kwa lugha mojawapo ya mkoa wa Tanga mjomba ni Mtumba.

Mtumba ni nguo zilizokwishavaliwa na watu kisha zinatolewa kama msaada au zinauzwa na watu wananunua magoli na wanatokelezea kwenye matukio kama wamevunja kabati la Mariedo.

Anaweza kuwa anamaanisha wewe ni Mtumba yaani second hand sio mpya tena yaani used sio mali mpya tena.

Sio marazote kila jambo lina maana, saa nyingine ni kuchangamsha genge tuu bin utani.
 
Mjomba sio neno la heshima kuitwa na Kazi unayoila.
Nasikitika kusema umeungaa kwanye huduma ya kulipia.
FB_IMG_16852760378943056.jpg
 
Kuna baadhi ya makabila mkeo/mpenz wako akikuaga anaenda msalimu uncle elewa tuu kitumbua chaenda pelekewa moto
 
Kuna baadhi ya makabila mkeo/mpenz wako akikuaga anaenda msalimu uncle elewa tuu kitumbua chaenda pelekewa moto
Mwanamke wa kimbulu akitembelewa na mtu akasema ni binamu yake jua huyo ni mume mwenzio na atamgongea hapo hapo kwako. Nadhani wanawake wa kimbulu wanaongoza kwa kuwa na mabinamu wengi.
 
Back
Top Bottom