Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,163
- 18,849
Chief unaomba msaada uingie kwenye uzinzi!!!!!!???? Anyway ngoja wajuvi wa hizo mambo waje wakusaidie maana jf ni kama Guanzuh China kila kitu unapata kikubwa subira.Kuna hii datting site inaitwa bibo mwenye uzoefu nayo wanatumia mfumo wa credit(coin) aisee credit inaliwa kama maji.
Na madem nawaona ni wengi mpaka najiuliza ni watu halisi au ni marobot japo lugha inayotumiaka kiswahili.
Mbaya zaidi ukijaribu kufupisha stori ukaomba namba text aiendi
Kama kuna mtu alishapa mbususu kwenye hii app anipe muongozo au kama kuna App nyingine za uhakika anaweza nisaidia
Kaka em nipe connection naona wewe twaweza ongea lugha mojaMaukame na hii mvua nani anataka kukimbizana na mbuzi wa mtaa wanaonukia kimbuzi mbuzi na huku kuna free delivery pussy inakusubiri online?
Hahaha na hapa tunaongea lugha moja mkuu, connection ni wewe tu na pakuingilia na pakutokea si unajua namaanisha nini?Kaka em nipe connection naona wewe twaweza ongea lugha moja
Bado sijakusoma mkuuHahaha na hapa tunaongea lugha moja mkuu, connection ni wewe tu na pakuingilia na pakutokea si unajua namaanisha nini?
Nimesema hapo mkuu connection ni wewe tu na kuamuaBado sijakusoma mkuu
Hio miscam mkuu hapo anatengenezewa mazingira ya kupigwaKwa hayo maelezo yako, jombaa umechati n maroboti
Mamaee ukiwaambia wataje namba wanaandika namba moja moja halafu kila wanapotaja namba moja ujibu yes kuja kumaliza namba zote kumi coin zimekataKwa hayo maelezo yako, jombaa umechati n maroboti
Utapigwa wewe shtuka hio michezo sioMamaee ukiwaambia wataje namba wanaandika namba moja moja halafu kila wanapotaja namba moja ujibu yes kuja kumaliza namba zote kumi coin zimekata
Mishangazi mnaipatapateje
Nami naipatapateje
Huyo si bibi yake kudadek
Lijimshangazz hilo wewe..Huyo si bibi yake kudadek
Libibi hilo limejichokea tena libaya maana kuna mibibi mizuri ile haizeeki ila hilo hapana sio lishangazi ni libibiLijimshangazz hilo wewe..
Wewe mbele ya pesa unaanza kujichagulia tena lizuri?mbona sisi hatunaga hizo habari😎Libibi hilo limejichokea tena libaya maana kuna mibibi mizuri ile haizeeki ila hilo hapana sio lishangazi ni libibi
Safi kabisa, kijana anakula mema ya nchi