A VILLEGER
New Member
- Jul 19, 2019
- 1
- 0
Wakuu ningependa msaada kutoka kwenu ktk ili tatizo nashindwa kuingia Instagram kila nikijaribu kuingia inagoma kwa kuleta hayo maneno pichani...nikaifuta na ku-install upya ttz lipo pale pale msaada wenu wakuu kwa anayejua/kufahamu
NOTE: sio kila anayetumia insta ni kwa mambo ya kipuuzi
(kujihami mijona)
NOTE: sio kila anayetumia insta ni kwa mambo ya kipuuzi
(kujihami mijona)