Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
mi ni kijana wa kiume sijaooa. Ila kuna dada namzimia naomba mbinu za kumtokea. ni sista duu ile mbaya
Kumbe ndio maana unashauri mwenzako "agonge tu katoto" kwasababu we kutongoza huwezi? Hamia mtaani kwa babaTina urahisishiwe mambo.
mi ni kijana wa kiume sijaooa. Ila kuna dada namzimia naomba mbinu za kumtokea. ni sista duu ile mbaya
kamwambie mfungwa wako anatamani gereza lake.
kuna swali ambalo umeulizwa na Afrodenzi.....................mbona hulijibu kwanza?
nimependa bure comment ya AFRODENZ,kumbe ndevu nayo ASSET