WAKUU MSAADA JINSI YA KUTOA WRITE-PROTECTION KATIKA FRASH

WAKUU MSAADA JINSI YA KUTOA WRITE-PROTECTION KATIKA FRASH

moekhitaryan

Senior Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
121
Reaction score
105
Habari wakuu
Nashindwa kuiaccess flash inadai write-protection natumia window xp hvo mwenye kujua naomba msaada anifahamishe
1478437253309.jpg
 
Mkuu vitu vingine sio lazima ulete hapa, unaweza ukagoogle kuna solution kibao kwenye Google
 
kuna flash zina lock flan ya kuslide pembeni nyingine ikiandika hivo ni kama imekufa utabaki una read huwezi ku write
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom