Wakuu kwa dar wapi ntapata suti nzuri za harusi?

Wakuu kwa dar wapi ntapata suti nzuri za harusi?

kikwakwa

Senior Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
105
Reaction score
12
Bei ziwe kuanzia 300,000-400,000.Pia na viatu bei iwe 100,000
 
Acha ufisadi,katembee Kariakoo,utapata suti nzuri sana maximum laki 2.Pia madukani Kariakoo,kiatu kizuri cha ngozi vya UK ni elfu 80.Ila kama huamini nipe hizo laki 5 nikakutafutie hivyo viwalo vyote
 
anavyoongea nahisi harufu ya mshamba..kama wale watani zangu wasukuma....anakuja na laki moja anakupa alafu anasema...NIPE KIATU CHA LAKI MOJA....kati ya vile anavyoviona, kumbe vinauzwa alfu kumi na tano...mchaga anachofanya ni kuchukua ile laki moja alafu anampa kiatu cha alfu ishirini, anamrudishia alfu kumi anabaki nayo tisini akisema nimekupunguzia alfu kumi nzima....msukuma anafurahiiii, anaondoka kwa shukrani kwenda kuuza ng'ombe wengine ili anunue suti ya laki mbili (wakati bei halisi ni alfu hamsini)..hahahah.
 
Back
Top Bottom