mpaka hapo ushakosa sifa za kuwa usalama wa taifa
1;umekuja kujitangaza hapa badala ya kufatilia kwa chini chini(kumbuka ulisabimit majina na mambo mengi mengi kwa mods)
2;unaonesha ni muoga sana hata mkeo akikunyima unyumba kwa kukuuliza nani alimjeruhi ulimboka utamtaja hata kama ni rafiki yako
3; ushaanza kuchunguzwa kwa nini unataka kujua
4; katika kazi zinazohitaji umakini ni hilo lakini naona unandika kifesibuku fesibuku
5;haya mambo ya sistm yaache kama yalivyo yaani kwenu hakuna hata mtu aliyewahi kuwa hata askari magereza sembuse mwenyekiti wa mtaa unazani wewe utaamka asubuhi tu uwe usalama wa taifa
6;nishakuona huna roho mbaya kazi hii haihitaji umayai mayai
7;kama ndoto yako ni hii basi sidhani kama huu ni wito wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.