Poleni sana kwa majukumu wakuu, naombeni kuulza kuhusu kazi ya usalama wa taifa yani ipoje interms of every thing kwa mfano rabda usomee nini ndo uipate n.k
Poleni sana kwa majukumu wakuu, naombeni kuulza kuhusu kazi ya usalama wa taifa yani ipoje interms of every thing kwa mfano rabda usomee nini ndo uipate n.k
Poleni sana kwa majukumu wakuu, naombeni kuulza kuhusu kazi ya usalama wa taifa yani ipoje interms of every thing kwa mfano rabda usomee nini ndo uipate n.k
Mbna mnanijibu hvyo sasa ndugu zanguni,mi hao wa2 niwatolee wap sasa
Jaman mbna mi cjasema kama ndo naitaka ila nimeulizia ili nijue tu
Mbna mnanijibu hvyo sasa ndugu zanguni,mi hao wa2 niwatolee wap sasa
mmh mi napita tuu habari za kung'olewa meno bila ganzi mi nataka! na sasa mahindi yalivyoshamiri kila kona utabaki unayaangalia tuu meno yameenda na wenyewe