Uko mjini au kijijini? Kuna gharama ya kuvuta umeme na nguzo ni bure ila wale wahuni wanaziuza bei inaweza kufika mpaka 500k. Bado lazima uwapoze kidogo waje kuunganisha ni balaa tupu.Najiuliza hapa Bei ya kuvuta umeme nguzo Moja ni Bei Gani wakuu maana sielewi taratibu mnaojua mnijuze wakuu
Nipo mjini mkuuUko mjini au kijijini? Kuna gharama ya kuvuta umeme na nguzo ni bure ila wale wahuni wanaziuza bei inaweza kufika mpaka 500k. Bado lazima uwapoze kidogo waje kuunganisha ni balaa tupu.
Kujua gharama halali ingia ktk huduma ya nikonekti utapata maelekezo
Au aende Tanesco,maulizoUko mjini au kijijini? Kuna gharama ya kuvuta umeme na nguzo ni bure ila wale wahuni wanaziuza bei inaweza kufika mpaka 500k. Bado lazima uwapoze kidogo waje kuunganisha ni balaa tupu.
Kujua gharama halali ingia ktk huduma ya nikonekti utapata maelekezo
Naongelea nguzo moja mkuuNimelipia hivi karibuni na wamekuja kuunganisha ,nimetoa laki tatu ila ni karibu bila ga nguzo ...Sijajua kama nguzo wanahesabu kwa sababu walikuja kufanya tathmini na kuangalia aina ya wiring iliyowekwa kwanza.
Sijajua kama wanahesabu ila waombe wakufanyie tathmini ...Ila flat kwa mjini ni 320,960 na nje ya mjini ni pungufu.Naongelea nguzo moja mkuu
Mimi nililipa TZS 515,617.62 nililipia nguzo moja na kuunganishiwa kwa hio amount, ilikua ni mwezi wa nne,,,ni mkoani lakini sio DSMNajiuliza hapa Bei ya kuvuta umeme nguzo Moja ni Bei Gani Kuna jamaa wameniambia 1m hivi ni kweli wakuu au wanataka kunipiga maana sielewi taratibu mnaojua mnijuze wakuu
Angalau kwa sasa gharama zimepunguaMimi nililipa TZS 515,617.62 nililipia nguzo moja na kuunganishiwa kwa hio amount, ilikua ni mwezi wa nne,,,ni mkoani lakini sio DSM
3m jumlaJadili mada husika
Huko ndiko kumenyooka.Nataka nijue naanza vipi mkuu