Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,466
- 14,615
Ameikuta chini ya kitanda"Ooh umeiona, nilikununulia ya mtumba, sijui utaipenda? kama mbaya itupe tu nitakuja na zingine"
Kesi imeshakua ngumu hiiHahaha just reply...Ya kwangu.
Ni jibu la kitoto. Lazima awe ametabiri jibu hilo."Ooh umeiona, nilikununulia ya mtumba, sijui utaipenda? kama mbaya itupe tu nitakuja na zingine"
Pole bruh. Hebu tuambie ukweli hiyo chupi ,uliingiza demu ndani? Ukala mzigo?Kesi imeshakua ngumu hii
Mamaae wataaalam 😅😂😂😂"Ooh umeiona, nilikununulia ya mtumba, sijui utaipenda? kama mbaya itupe tu nitakuja na zingine"
Ulihifadhi umfanyie surpriseAmeikuta chini ya kitanda
Ukiikataa ndio msala, wewe kubali ila kitaalam sanaMbona sijawahi kuiona,.
Hata ukimya nao jibuMessage kama hii unachomoka vipi
Hilo jibu wewe ungerikubari? Jiongeze tu kwamba kuna mwenzio amemwagiwa uji uji usiku wa jana"Ooh umeiona, nilikununulia ya mtumba, sijui utaipenda? kama mbaya itupe tu nitakuja na zingine"
Duh! wewe ndio utakua na jibu la kitoto yaani mwanamke akute chupi ndani umwambie hujui imetokea wapi labda aliiweka yeye!!!? Lol haya mambo tuachie sie wataalam wa kuvusha (japo tushastaafu)Ni jibu la kitoto. Lazima awe ametabiri jibu hilo.
Consider kitu kama ,Sijui imetokea wapi hiyo chupi? May be umeiweka wewe?