professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Wakuu natanguliza shukrani na heshima kwenu.
Nahitaji kibali yaani favor Toka kwa afisa fulani kwenye ofisi moja hapa jijini, lakini mazingira naona ni magumu, naona kama jambo langu halitapata kibali mbele ya ofisi hiyo. Mana sio mara ya kwanza kutokusikilizwa kwenye ofisi hiyo
Hivyo nimekuja kwenu wakushi wenzangu kama Kuna mtu yeyote anaefahamu ukushi wa kupata kibali au kukubalika mbele ya mtu au mamlaka fulani naomba anisaidie
Nahitaji kibali yaani favor Toka kwa afisa fulani kwenye ofisi moja hapa jijini, lakini mazingira naona ni magumu, naona kama jambo langu halitapata kibali mbele ya ofisi hiyo. Mana sio mara ya kwanza kutokusikilizwa kwenye ofisi hiyo
Hivyo nimekuja kwenu wakushi wenzangu kama Kuna mtu yeyote anaefahamu ukushi wa kupata kibali au kukubalika mbele ya mtu au mamlaka fulani naomba anisaidie