nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Wewe unasema mkoa wa Mara.. kuna wakurya hapa hapa Dar tena wengine ni majaji lakini wanapiga wake zao na kuwatoa ndani bila hata nguo...
Mimi nimekuwa na majirani wa kikurya ni noma...yani unamvua nguo mkeo na kumtoa nje na watoto wakiangalia....
Mimi nimekuwa na majirani wa kikurya ni noma...yani unamvua nguo mkeo na kumtoa nje na watoto wakiangalia....
pole nimekushika pabaya,mkoa wa mara wageni ni wachache,tena wengi wameenda baada ya kuwepo na migodi,otherwise nenda kasaidie dada zako wanaofanyiwa vitendo vya kikatili huko vijijini.hunidanganyi kitu nimeishi mkoa wa mara miaka minne nimeshuhudia vitendo vya kikatili kwenye mkoa ule sijawahi
kuona kwenye maisha yangu.