Wakulima wagomea bei ya Korosho

Wakulima wagomea bei ya Korosho

We akili huna, Mimi nafanya biashara na pia nna mashamba ya mikorosho huko kusini pamoja na mihogo, huyo jiwe kawafirisi watu wengi kipindi kile
Mkulima umekimbia? Halafu ulivyo juha unataka kudanganya watu hapa eti umeporwa milion 18 wewe ni muongo sana inavyoonyesha hata mtwara haujawahi kufika
 
Acha uzwazwa wewe utawala wa magufuli mimi ndio nimeuza korosho bei kubwa tangu nizaliwe
Acha upumbavu, Hilo jiwe lako lilikuta watu wameshatengeneza misingi hata bei ikafika hapo ilipofikia, alipoharibu mpaka leo mambo hayajakaa sawa!!

Kama hujui mambo bora ukae tu kimya!!
 
Mkulima umekimbia? Halafu ulivyo juha unataka kudanganya watu hapa eti umeporwa milion 18 wewe ni muongo sana inavyoonyesha hata mtwara haujawahi kufika
Kumbe wee ni Mtu Chihangu baina ya Meta na Mnyambe, kule hakuna mikorosho!

labda ndio maana hujui unachokitetea hapa!!
 
One kilogram of cashews can cost $10 wholesale — over seven times as much as peanuts. And in the US, retail prices for raw whole cashews can reach $15 per pound. But cashews are more complex than most other nuts. Each cashew kernel grows inside a toxic shell. It must be carefully extracted from this shell and rigorously processed to ensure that the caustic liquid inside the shell is completely destroyed. So, how are cashews processed? And is this what makes them so expensive? The processing of cashews is becoming widely automated, though it is still done by hand in many factories in Sri Lanka.


Naona ndiyo maana Vietnam, Sri Lanka, India wameamua siku nyingi korosho zinazozalishwa nchini mwao wanazisindika ili kuongeza thamani na kuuza korosho zilizo tayari kuliwa.

Pia nchi hizo tatu ndiyo wanunuzi wakubwa wa korosho ghafi toka nchi za kiAfrika halafu wanazisindika na kuuza kimataifa tayari kuliwa huku wakinufaika na bei kubwa ya korosho iliyosindikwa.

Hili suala la korosho halina tofauti na madini ya Tanzanite yanayopatikana nchi Tanzania pekee, kama ilivyo kwa korosho Tanzania inauza madini hayo yakiwa hayajachongwa kwenda India, Thailand, Belgium n.k ambapo wanayachonga na kuyaongeza thamani maradufu tayari kuuzwa ktk soko la dunia.

Lini tena tutarejea kuwa tayari kusindika mazao na kuchonga / gharisha madini ili viwanda vidogo vingi vyenye watu waTanzania wenye ujuzi ili kutengeneza bidhaa zilizo ongezwa thamani kubwa tayari kuliwa ktk soko la dunia badala ya kuuza malighafi na kuzipelekea nchi zingine ajira nyingi ili waongeze thamani pia ajira kwa wingi huko ngambo.

Nchi hii inahitaji visheni / vision kubwa vyuo vya VETA, faculty za vyuo vikuu sehemu ya uhandisi mitambo n.k kutoa mafunzo wanachuo kuweza ku design, kuendesha na kukarafati mitambo ya kubangua korosho, kuchonga tanzanite, almasi n.k ili kwa kuanzia sekta ya mazao zipate uwezo wa kusindika mazao yao ili kuongeza thamani pia madini yachongwe tayari kuuzwa kwa bei kubwa kama vito vilivyokamilika.

19 - 22 October 2022 Kongamano la 7 la WaHandisi wa Mitambo lafanyika chuo kikuu cha UDSM


Mh. Omani Kipanga naibu waziri wa elimu aelezea azma ya serikali kutengeneza muunganiko baina ya yale wahandisi wa mitambo (mechanical engineering) wanayofundishwa vyuoni na hali halisi iliyopo nje ya vyuo vikuu ili wahandisi hao wakaweze kuleta mabadiliko katika jamii mfano kuunda mitambo, kuifanyia service n.k
Source: mlimani tv

Hongera na ahsante mkuu, Kwa mchango wako
 
Mkulima umekimbia? Halafu ulivyo juha unataka kudanganya watu hapa eti umeporwa milion 18 wewe ni muongo sana inavyoonyesha hata mtwara haujawahi kufika
kumbe nabishana na toto la kukaa kwa shemeji
 
Hauna uwezo huo wewe wa kumiliki korosho zenye thamani hiyo haya nikuulize swali shamba hilo liko sehemu gani?
we endelea kusubiria ugali kwa shemeji hapo, korosho za mil.18 unaona ni nyingi Sana ?
 
Mkulima umekimbia? Halafu ulivyo juha unataka kudanganya watu hapa eti umeporwa milion 18 wewe ni muongo sana inavyoonyesha hata mtwara haujawahi kufika
We ni tahira, na tatizo wahiyao wengi shule hawana , na wewe ni mmojawapo, mnachojua kushikwa mkono na kupigwa miti tu, kwa ujinga wako unaona huko mtwara ni ulaya ndogo . Stupid
 
we endelea kusubiria ugali kwa shemeji hapo, korosho za mil.18 unaona ni nyingi Sana ?
Sijakuambia milioni 18 nyingi ila wewe hauna uwezo huo na hamna yeyote aliedhulumiwa pesa yake kima wewe nawajua wanunuaji wengi sana tena wenye mitaji na wote walipata pesa yao sasa iweje wewe peke yako udhulumiwe? Na ulipima chama gani hizo korosho?
 
Bwana yule alitengeneza kizazai Cha kusifu nakupongeza kuliko empire yoyote hapa Duniani.

Aliwaaminisha wafuasi wake , kua yeye ndie masihi wa kuokoa kizazi Chao. wale watakao fuatia baada yake watakua Manabii wa uongo hivyo wapingwe kwa jina la lake.

Wale wote watakao kanisha uongo hao watakua wameuza utu wao kwa ma beberu.

Vumilia ,wanafunzi walimpenda Mwalim wao na wameanua kuyaishi Yale yote alio wafundisha, Huku wakitegemea kuungana nae kuongoza Taifa la Maraika.
 
Acha upumbavu wa kubisha kila kitu niliuza ndio. Mtu uko mikoa ya kati huko unaleta harakati za kubishia usichokijua
ona upumbavu wako ungekuwa mkulima weye ungeshinda kupiga domo JF... milofa ya LUMUMBA utaijua tu kwa uzwazwaz wao kazi ushabiki tu njoo huku kibiti uongee hiyo shombo yako kitachokukuta usimwambie mumeo.
 
Back
Top Bottom