troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,550
- 2,575
Ni hivi na bado, Magufuli kasemwa sana kwamba aliharibu biashara ya korosho, ngoja tuone nani zaidiMshtuko umewakuta wakulima baada ya Kuletewa bei ya Tsh 1680 kabla ya makato ambapo baada ya makato huenda mkulima ikamfikia 1380, Zoezi hilo la mauzo ya Korosho liliendeshwa wilayani Tandahimba katika kijiji cha Mitondi.
Wakulima wamegomea bei hiyo hivyo korosho hazijauzwa leo.

