Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,239
- 821
PoaMi pia mkuu naomba kuungwa mkuu... Nimekupm namba yangu
PoaMi pia mkuu naomba kuungwa mkuu... Nimekupm namba yangu
Mkuu yaani kwa michumo yote box zinaweza kupatatikana kiasi ganimkuu mavuno ya nyanya yapo hivi,
sisi tunauza kwa box, na tunavuna kila wiki.
sasa ule mchumo wa kwanza tunaita fundisha, sasa mfano mchumo wa kwanza ukichuma box 20 utaangalia na bei itakavyokuwa sokoni mfano ikiwa 10000 utapata 200,000/=
utakuja mchumo wa pili box zinaongeza unaweza kupata box 60 pia utazidisha kwa bei iliyopo sokoni au tufanye ile ile 10000 utapata 600,000/=
mchumo wa tatu unaweza kupata box 120 pia utazidisha kwa bei
mchumo wa 4 utaweza kupata box 180 pia utazidisha kwa bei
mchumo wa 5 unaweza kupata box 240 utazidisha kwa bei,
baada ya hapo nyanya nitaanza kupungua mchumo unaofata zitarudi 180 alafu 120 alafu 60 mwisho 20 biashara imeisha
utajumlisha kila mchumo umepata bei gani utatoa na gharama ulizotumia
hizo bei ni mfano zinaweza kuzidi au kupungua
yumbayumba kama hili group limejaa anzisha jingine mkuu tujiunge na sie
You better start teregram group, with unlimited member noyumbayumba kama hili group limejaa anzisha jingine mkuu tujiunge na sie
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwai kujaribu kilimo hiki cha Nyanya,mambo yalienda vizuri lakini kuna mdudu anaitwa Kanitangaze duu!,aliniharibia sana ijapokwa mtaji wangu ulirudi baada ya mavuno!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nafikilia kulima kilimo hichoAsante...Karibu sana ndugu yangu....
Nami nafikilia kulima kilimo hicho
kilimo cha nyanya ni kizuri lakini ni kilimo chenye changamoto kubwa sana…ninachokushauri anza kwanza na bustani ndogo ya nyanya nyumbani kwako….ukimudu kuihudumia bustani tafuta eneo kubwa...ukikurupuka kwenye kilimo cha nyanya utajikuta unapata hasara.Nami nafikilia kulima kilimo hicho
Mada nzuri sana.kilimo cha nyanya ni kizuri lakini ni kilimo chenye changamoto kubwa sana…ninachokushauri anza kwanza na bustani ndogo ya nyanya nyumbani kwako….ukimudu kuihudumia bustani tafuta eneo kubwa...ukikurupuka kwenye kilimo cha nyanya utajikuta unapata hasara.
Huu Ni ushauri wa kiuzoefu, well said. Kila kitu unahitaji ujifunze kwanza, then utanue kidogo kidogo.kilimo cha nyanya ni kizuri lakini ni kilimo chenye changamoto kubwa sana…ninachokushauri anza kwanza na bustani ndogo ya nyanya nyumbani kwako….ukimudu kuihudumia bustani tafuta eneo kubwa...ukikurupuka kwenye kilimo cha nyanya utajikuta unapata hasara.
huo ndio ukweli ndugu yangu huwa sipendikupindisha maneno...ninapo mudu kumwambia mtu ukweli namwambia...akikubari akubari akiamua kupuuzia basi...!Huu Ni ushauri wa kiuzoefu, well said. Kila kitu unahitaji ujifunze kwanza, then utanue kidogo kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
That is a good spirit Mkuuhuo ndio ukweli ndugu yangu huwa sipendikupindisha maneno...ninapo mudu kumwambia mtu ukweli namwambia...akikubari akubari akiamua kupuuzia basi...!
Msaada nami niungwe kwenye group la nyanya 0755840780Mkuu nami imenikatalia namba niunge 0715650128
Mkuu nitumie namba zako niko kilimanjaro nataka nilime nyanya huku tunapeana ushauriDebe moja kilo 18 mpaka 20
Umemjibu Vema kabisaswali lako lina majibu mawili
Je, umeotesha mbegu katika kitalu ama katika trays?
Na
iwapo ni Trays huwa ni vizuri kununua na udongo wake kabisa hivyo tangu kusia hadi siku ya kupanda shambani huwa wanapendekeza iwe siku 21.
Ila iwapo ni kitalu napo pia wanapendekeza basi isivuke siku 30.
Mfano mwezi uliopita March 20
nilisia mbegu aina ya Imara F1
50gm kwa Ekari 1
makisio ni upate miche 4,500 hadi 4,800
Kwa Ekari moja coz ktk upandaji kuna nafasi unazoacha, mche na mche, mstari na mstari.
Na
Shambani nilipanda miche Tar 20 Mwezi huu!
Sent from my iPhone using JamiiForums