7-11Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?
Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
Unashimdwa kutoa 15k ununie febe uko or ili ujue linatoka kilo ngapi?Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?
Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
Sidhani kama inafika coz gunia huwa inaingia around debe tisa ambazo ukienda kukoboa ni kuanzia 55kg hadi 65kg10Kg
Tano hadi sita mkuuWakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?
Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
8-10Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?
Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
Njoo getting nikupeBila shaka wewe ni pisi kali
Sidhani kama inafika coz gunia huwa inaingia around debe tisa ambazo ukienda kukoboa ni kuanzia 55kg hadi 65kg
Toa hiyo 15 ununue kisha utajua debe la mpunga linatoa kg ngapiWakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?
Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
Huo mpunga wa kwenu ni mwepesi sana mkuu juzi nimekoboa gunia la mpunga lenye debe 8 nimepata kilo 72 za mchele.Sidhani kama inafika coz gunia huwa inaingia around debe tisa ambazo ukienda kukoboa ni kuanzia 55kg hadi 65kg